Quote yangu ya Wiki

Omutwale

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2008
Posts
1,429
Reaction score
1,047

"Jambo hili sasa nalielewa zaidi kuliko wakati mwingine wowote; hili suala wala halihusiani na dini bali na siasa zaidi katika kufikia malengo fulani fulani. Naamini maneno ya hawa jamaa yamekuja katika jitihada za kukifanya CCM kuwasikiliza. Endapo serikali ya CCM ikisema kuwa hakuna OIC wala Mahakama ya Kadha timu ya watu hawa hawa watageuka na kusema CCM ni chama kisichajli maslahi ya "Waislamu" kana kwamba ndani ya CCM wamejaa wakristu watupu!"


Mwanakijiji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…