Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,683
- Thread starter
-
- #21
Sasa kwanini waislam hukubali mapema kufanya uharifu huku wakijua wamedanganywa na watu wa western?Mti wenye matunda,ndio upigwao mawe.Makundi yote ya kihalifu,yanaanzishwa na nchi za magharibi,kwa kutumia mgongo wa uislamu,mbona hii imeshajulikana mda mrefu,au wewe ndio mpya mitandaoni?
Sio kweli,ukweli ni makundi ya uhalifu,yanaanzishwa na nchi za magharibi,kwa mwamvuli wa uislamu,wakati wao sio waislamu.Unafikiri vikundi hivi vya uhalifu,vingeanzishwa na waislamu wenyewe,vingeangamizwa na silaha kali za nchi za magharibi.Hujui kwamba matendo wanayoyafanya yameruhusiwa kwenye vitabu vyao wameamrishwa kuwatia hofu wasiofungamana na itikadi na imani zao lengo ikiwa kutaka kutawala ili wawanyanyase wanawake vizuri wajiolee hata wanawake hamsini hamsini
Nchi nyingi za kiislamu zina Amani:Ni Swali Najiuliza Ni Nchi Gan Ya Dini Yetu Hii Tukufu Cjui Kama Naweza Gugo Nikapata Nchi Ya Dini Hii Halafu Ikose Vita Labda Zanzbar Ambako Kuna Muungano Na Tanganyika Ila Dunia Nzima Hakuna
Jadili hoja ya sasa, hiyo tutaifungulia uzi wakeHuko kwa Biblia kuna USHOGA, KAMARI, UESHARATI, ULEVI ....mbona haya huyasemi?
jibu hili hpa umeshajibiwa na kwa kuongezea uislam ni aman neno salaam katika islam lina maana ya aman kama kuna mtu unaona anaenda kinyume usiupake matope uislam kwani si kuna wanaume wanana tombw*' kwanini hamuwaiti wanaume mkawa sawa mkawaita mashogaUSIHUUKUMU UISLAM KWA MATENDO YA WAISLAM.
UISLAM NI DINI ILIYO KAMILIKA.ILA WAISLAM HAWAJAKAMILIKA NDO MAANA KUNA MAKOSA NA KUOMBA MSAMAHA.
PEPO NA MOTO.
UISLAM SIO JINA ETI KISA NAITWA JUMA BASI NITAKWENDA PEPONI.ILA NI KWELI WAISLAM TUMEACHA MAFUNDISHO YA QURAN.TUKUMBUSHANE.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji3] nimecheka sana mkuuTusitafutiane ban
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23]
Moja ya mikajati yao nikuzaana sana ili waweze kutawala wakristo wanasema wakristo huzaa watoto wawili tuHujui kwamba matendo wanayoyafanya yameruhusiwa kwenye vitabu vyao wameamrishwa kuwatia hofu wasiofungamana na itikadi na imani zao lengo ikiwa kutaka kutawala ili wawanyanyase wanawake vizuri wajiolee hata wanawake hamsini hamsini
Zanzibar ukila hadhari wakati wa ramadhani unapigwa bakoraNi Swali Najiuliza Ni Nchi Gan Ya Dini Yetu Hii Tukufu Cjui Kama Naweza Gugo Nikapata Nchi Ya Dini Hii Halafu Ikose Vita Labda Zanzbar Ambako Kuna Muungano Na Tanganyika Ila Dunia Nzima Hakuna
Qur'an sio takatifu Bali ni tukufuUkiua kwa kupigania dini unapata haki ya bikra 72 kule juu mbinguni mara baada ya kifo chako kwa wale wafia dini kama hao vijana wa makundi ya kiharamia jamii ya bokoharamu
Huko mbinguni kuna mito ya pombe za kila aina, hivyo vilivyo haramu huku duniani mbinguni ni halali kabisa hii ni kwa mujibu ya Qur'an kitabu kitakatifu
Uongo mtakatifu huuMti wenye matunda,ndio upigwao mawe.Makundi yote ya kihalifu,yanaanzishwa na nchi za magharibi,kwa kutumia mgongo wa uislamu,mbona hii imeshajulikana mda mrefu,au wewe ndio mpya mitandaoni?
Ukiweka ushabiki huwezi kuchambua kwa hoja, piga pande zoteNchi nyingi za kiislamu zina Amani:
1:Oman
2😀ubai
3:Saudia
4:Qatar
5😀ubai
6:Bahrain
7:Abudhabi
8:Kuwait
9:Brunei,Darusalaam
10:nk
Wakati nchi za Biblia vurugu tupu
1:Sudani kusini
2:Kongo
3:Rwanda
4:Burundi
5.Ireland ya Kaskazini
6.Liberia
7.Burma.
8.nk
Moja ya mikajati yao nikuzaana sana ili waweze kutawala wakristo wanasema wakristo huzaa watoto wawili tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Post hii haihusu kuangalia lipi dhehebu bora kuliko jingine.Huko kwa Biblia kuna USHOGA, KAMARI, UESHARATI, ULEVI ....mbona haya huyasemi?