Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,683
- Thread starter
-
- #41
Afghanistan pametulia kuliko YemenNi Swali Najiuliza Ni Nchi Gan Ya Dini Yetu Hii Tukufu Cjui Kama Naweza Gugo Nikapata Nchi Ya Dini Hii Halafu Ikose Vita Labda Zanzbar Ambako Kuna Muungano Na Tanganyika Ila Dunia Nzima Hakuna
aya ganiUkiua kwa kupigania dini unapata haki ya bikra 72 kule juu mbinguni mara baada ya kifo chako kwa wale wafia dini kama hao vijana wa makundi ya kiharamia jamii ya bokoharamu
Huko mbinguni kuna mito ya pombe za kila aina, hivyo vilivyo haramu huku duniani mbinguni ni halali kabisa hii ni kwa mujibu ya Qur'an kitabu kitakatifu
UmesahauNchi nyingi za kiislamu zina Amani:
1:Oman
2😀ubai
3:Saudia
4:Qatar
5😀ubai
6:Bahrain
7:Abudhabi
8:Kuwait
9:Brunei,Darusalaam
10:nk
Wakati nchi za Biblia vurugu tupu
1:Sudani kusini
2:Kongo
3:Rwanda
4:Burundi
5.Ireland ya Kaskazini
6.Liberia
7.Burma.
8.nk
Utakatifu is so exceptional lkn na umebase sana spiritually kuliko utukufu ambao hata baba Jesca anaitwa hivyo
Wapendwa mwanajf, nawasalimia kwa heshima zote!
Wote tuliopo hai duniani leo hii Dini zote tulizikuta zipo baadaye tukaaminishwa na kuamini tulichoambiwa!
Thread hii haitafuti dini IPI bora wala dhehebu lipi bora kuliko jingine.
Quran ni maandiko matakatifu katika imani za kiislam ambacho kuna machache ya yaliyomo katika Agano la kale ndani ya bibilia yamo pia katika quran.
Quran imeandikwa vizuri tu lakini lugha iliyotumika huenda haieleweki kwa wasomaji wengi ndio maana waislam walio wengi ni wepesi sana kushawishika hata kutenda maovu ambayo hata kitabu cha quran hakijayagusia hata chembe.
Jambo hili limekuwa nikinifanye ni waze sana kila mara kwa nini waislam wengi hushawishika kirahisi kutenda maovu hata mara tu wakitoka nje ya jengo la Ibaada?
Kwa nini makundi ya kiharifu yamejaza vijana wengi wa kiislam?
Kwa nini Boko haram hutembea na quran huku wakiendesha mauji holela?
Kwanini kundi la alshabab, Islamic state, alqaida, Abboosafayy, Alnusrrah nk wote hutembea na quran huku wakiendesha mauaji ya holela?
Kitu gani huwafanya waislam watofautiane na kitabu kitakatifu hicho cha Quran?
Tupia jicho mataifa yote ya kiislam utakuta mengi yana vurugu nyingi lakini Quran IPO na husomwa kila Siku.
Je quran imeelekeza kutopenda amani? Au viongozi walioenda masomo zaidi ya kuifahamu Quran ndio wapotoshaji wakubwa kwa waumini waumini wao?
Karibuni tuelimishane vizuri kwa kuepuka lugha chafu ili tusimkosee Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kidogo umenipa elimu japo umeibania kwa uogaKama upo sincere katika kutafuta jibu ama elimu kuhusu hilo nitakujibu.
Quran ni Kitabu kitukufu alichopewa Mtume Muhammad ili uwe muongozo kwa Waislamu. Quran imekamilika. Hakina makosa.
Quran is what we are supposed to run to at any point in our lives.
Tukiwa sad.... Tunakutana na aya unasema Do Not Be Sad
Tukiwa happy tunakutana na ingine inayotufundisha kumshukuru kwa neema za Mola wetu
Ulitaka jibu lolote utalipata kwenye Quran.
Kwa sababu ya human nature na kutokuwa tumekamilika, ndo hapo tunapokuwa Waislamu lakini imani zetu hazijakamilika.
Tunapokuwa tunasengenya.... tunatukana...tunagombana... ndo hapo inapobidi tukumbushane.Tusijisahau sana.
Tushikamane. Tuongozane. Mkono kwa mkono mpaka Jannah.
Angalizo: Boko Haram na vikundi vingine wanaojiita Waislamu sio miongoni mwetu.
Sina uoga wowote.
Huku kote,vurugu zimeletwa na nchi za magharibi,lakini sasa wamejulikana,kama wagalatia ndio wanaoleta uharibifu.Umesahau
Somalia
Yemen
Libya
Pakistan
Afghanistan
Iraq
Syria
Lebanon
Sudan nk
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu unafahamu vyanzo vya uwanzishwaji wa vikundi hivyo?Wapendwa mwanajf, nawasalimia kwa heshima zote!
Wote tuliopo hai duniani leo hii Dini zote tulizikuta zipo baadaye tukaaminishwa na kuamini tulichoambiwa!
Thread hii haitafuti dini IPI bora wala dhehebu lipi bora kuliko jingine.
Quran ni maandiko matakatifu katika imani za kiislam ambacho kuna machache ya yaliyomo katika Agano la kale ndani ya bibilia yamo pia katika quran.
Quran imeandikwa vizuri tu lakini lugha iliyotumika huenda haieleweki kwa wasomaji wengi ndio maana waislam walio wengi ni wepesi sana kushawishika hata kutenda maovu ambayo hata kitabu cha quran hakijayagusia hata chembe.
Jambo hili limekuwa nikinifanye ni waze sana kila mara kwa nini waislam wengi hushawishika kirahisi kutenda maovu hata mara tu wakitoka nje ya jengo la Ibaada?
Kwa nini makundi ya kiharifu yamejaza vijana wengi wa kiislam?
Kwa nini Boko haram hutembea na quran huku wakiendesha mauji holela?
Kwanini kundi la alshabab, Islamic state, alqaida, Abboosafayy, Alnusrrah nk wote hutembea na quran huku wakiendesha mauaji ya holela?
Kitu gani huwafanya waislam watofautiane na kitabu kitakatifu hicho cha Quran?
Tupia jicho mataifa yote ya kiislam utakuta mengi yana vurugu nyingi lakini Quran IPO na husomwa kila Siku.
Je quran imeelekeza kutopenda amani? Au viongozi walioenda masomo zaidi ya kuifahamu Quran ndio wapotoshaji wakubwa kwa waumini waumini wao?
Karibuni tuelimishane vizuri kwa kuepuka lugha chafu ili tusimkosee Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani umeshindwa kutofautisha kati ya uoga, kunyimwa haki, kutishwa, kunyimwa demokrasia na AMANI, hizo nchi ulizozitaja Hazina Amani bali zina hayo niliyoyaeleza, na ndio maana nchi kama Misri, Libya nk wananchi waliamua liwalo na liweNchi nyingi za kiislamu zina Amani:
1:Oman
2😀ubai
3:Saudia
4:Qatar
5😀ubai
6:Bahrain
7:Abudhabi
8:Kuwait
9:Brunei,Darusalaam
10:nk
Wakati nchi za Biblia vurugu tupu
1:Sudani kusini
2:Kongo
3:Rwanda
4:Burundi
5.Ireland ya Kaskazini
6.Liberia
7.Burma.
8.nk
Nataka kujifunza kabisa ili changamoto nilizozitaja zifungukePengine mtoa mada analengo zuri tu la kutaka kujifunza, akitaka kweli anaweza kufahamishwa. Ila kama ana lengo baya la kuukejeli uislam basi waislamu wenyewe hawatoshangaa maana kwenye Qur an Mwenyezi mungu anasema "Hakika ya chuki zinazodhihirika kutoka kwa makafiri ni ndogo mno ukilinganisha na zilizomo ndani ya vifua vyao" Hii maana yake ni kwamba watu wanaweza simama wakajifanya marafiki, ndugu jamaa sijui nini lakini ndani ya vifua vyao (mioyo) yao wanawachukia sana nyinyi waislam
Quran imeingia hapa kwa sababu kuna wanaofanya maovu hutekeleza wakiwa wamebeba Quran.Look boko haram, nk rejea kwenye maada vizuri, je watu/waislam hawayaelewi yaliyomo ndani ya quran?mkuu unafahamu vyanzo vya uwanzishwaji wa vikundi hivyo?
quran imeingiaje kweny masuala ya ugaidi?? fikiria kwanza kabla ya kutoa mada
Quran n ktabu hakiwez kumzuia mtu kufanya maovuQuran imeingia hapa kwa sababu kuna wanaofanya maovu hutekeleza wakiwa wamebeba Quran.Look boko haram, nk rejea kwenye maada vizuri, je watu/waislam hawayaelewi yaliyomo ndani ya quran?
Sent using Jamii Forums mobile app