R.i.p Afande Nicholaus Lonjino

R.i.p Afande Nicholaus Lonjino

Camilo Cienfuegos

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2015
Posts
18,960
Reaction score
67,654
Huyu ni mmoja wa maafande waliofariki katika ajali ya gari iliyoua wapiganaji wenzetu huko Kigoma.

Pumzika kwa amani MP Nicholaus Lonjino, daima tutakukumbuka sana hasa ucheshi wako na uwezo wako wa kusakata kabumbu.
06450C00-2CEC-496A-B6B3-06A244F1B2AA.jpeg
 
Bouy Advent aliyefariki ni yule mwamba alikua kitengo cha maji pale Zone Ab matanki ya maji au sie miaka ya 2014mpka 15 jana nimeona taarifa zimenistua sana sana
 
Angalia nilichokuuliza kwenye post yangu
Huyu ni mmoja wa maafande waliofariki katika ajali ya gari iliyoua wapiganaji wenzetu huko Kigoma.

Pumzika kwa amani MP Nicholaus Lonjino, daima tutakukumbuka sana hasa ucheshi wako na uwezo wako wa kusakata kab
 
Back
Top Bottom