R.I.P Joseph Pande, Naibu Mwendesha Mashtaka(DPP), ni kifo cha kawaida?

R.I.P Joseph Pande, Naibu Mwendesha Mashtaka(DPP), ni kifo cha kawaida?

Big big bro wa kitaa kabisa ,so sad.
 
Wingi ni subjective, je nyingi zake zilikuwa nyingi?
Zaburi 90:10
[10]Siku za miaka yetu ni miaka sabini,
Na ikiwa tuna nguvu miaka themanini;
Na kiburi chake ni taabu na ubatili,
Maana chapita upesi tukatokomea mara.

Hazikuwa nyingi kwasababu hakufikisha miaka 70/80 ya Kibiblia.
 
Back
Top Bottom