TANZIA R.I.P Mwalusako

Nini kimekatisha uhai wake.
 
Hakukua na sababu ya kueleza alikua anafanya nini kwa sasa.
Watu wanalazimika kujua ni nini kimekatisha uhai wake.

Yanga mnakwama wapi?
Ugonjwa ni Siri ya mgonjwa, familia yake na daktari wake...ni Sheria au taratibu za nchi yetu
 
Ugonjwa ni Siri ya mgonjwa, familia yake na daktari wake...ni Sheria au taratibu za nchi yetu
During treatment.
Sababu ya kifo sio siri ya yoyote.

Corona inakaba koo!
 
Acha hizo...ndiyo nyie mnaosemwa mnasambaza uongo...huyu comrade Alikuwa na matatizo muda mrefu...Tena nimedokezwa Alikuwa amefanyiwa operesheni
Muhimbili awalazi wa COVID19. Na yupo kwa mda mrefu pale hospital
 
During treatment.
Sababu ya kifo sio siri ya yoyote.

Corona inakaba koo!
Muhimbili hawalazwi wa #covid19 jomba.Halafu toka lini mgonjwa wa #covid19 akafanyiwa upasuaji....Mbona kama unalazimisha
 
Muhimbili hawalazwi wa #covid19 jomba.Halafu toka lini mgonjwa wa #covid19 akafanyiwa upasuaji....Mbona kama unalazimisha
Wasifu wa marehemu ni pamoja na kilichokatisha uhai wake.
Hii husaidia kuifunza jamii ikiwa sababu inapaswa kuchukua tahadhari.
 
LAWRENCE MWALUSAKO KWA WATU WENYE UMRI ULIOPEVUKA KAMA SISI, BASI LIKITAJWA JINA HILO TUNAKUMBUKA MBAAAAAAAALI SANAAA. DAAAAH
KAKA YETU AMETUTANGULIA! KWELI DUNIA TUNAPITA TU JAMANI.
 
Huyu alicheza miaka ipi ?Maana katika kumbukumbu zangu sikuwahi sikia hili jina. Mimi nawakumbuk kina Ken Mkapa,Thom Kipese,Sanifu Lazaro,Kabunda n.k
 
LAWRENCE MWALUSAKO KWA WATU WENYE UMRI ULIOPEVUKA KAMA SISI, BASI LIKITAJWA JINA HILO TUNAKUMBUKA MBAAAAAAAALI SANAAA. DAAAAH
KAKA YETU AMETUTANGULIA! KWELI DUNIA TUNAPITA TU JAMANI.
Alicheza miaka ipi ?
 
Huyu alicheza miaka ipi ?Maana katika kumbukumbu zangu sikuwahi sikia hili jina. Mimi nawakumbuk kina Ken Mkapa,Thom Kipese,Sanifu Lazaro,Kabunda n.k

1985.1989 hiyo uliza kina Abeid Mziba, Fred Felix Isaya Minziro, Joseph Fungo, Sure Boy etc
 
1985.1989 hiyo uliza kina Abeid Mziba, Fred Felix Isaya Minziro, Joseph Fungo, Sure Boy etc
Hapo nilikuwa bado. Ila yeye itakuwa aliacha mpira before Minziro,sure boy na Abeid Mziba maana hao akili yangu inakumbuka kusikia hayo majina.
 
Mwalusako pumzika kwa amani. Jamaa huyo pamoja na Dennis Mdoe tulisoma pamoja katika chuo kikuu cha Dar es Salaam katika vitivo tofauti katikati ya miaka ya themanini. Pamoja na umaarufu wao wakati huo walikuwa ni waungwana na wanyenyekevu sana. Mungu aipumzishe roho yake pema peponi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…