R.I.P My SimCard!

Gemini Are Forever

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2019
Posts
1,508
Reaction score
2,619
Nilikupenda sana na ulinirahisishia mambo mengi katika maisha yangu. Niliweza kufanya mipango yangu nikiwa popote bila kufika, kupitia wewe nilifanya miamala, nilipiga soga na ndugu, jamaa, marafiki na wote niwapendao... Nilipokosa chaji nilihisi nipo kizani, sikutaka nikukose hata dakika moja. Ila leo hii umeniacha...!?

Nilikupenda ila Kokoto kakupenda zaidi.

REST IN ETERNAL PEACE LAINI YANGU.
 
SK2016 said:
Vipi imekufa kweli au Mungu kainusuru?
Mkuu jana usiku nilikuw naongea... ghafla nikiwa kati kati ya mazungumzo nikasikia system (warning alert)... kuangalia kwenye screen ya simu nkaona maneno yanayosomeka "access error" halaf simu ikakatika hapo hapo. Ile nakuja kuchek line (SIM 1) inasoma "SIM access error"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…