HB wa kigogo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 2,487
- 6,250
Hatari sana kiongozi. Ila kuna mabinti wawili waliowahi kuwa wapenzi wake wamesema tuhuma hizo si za kweliFreemasons wameamua wachukue umaarufu wake Baada ya kujaribu kuwasaliti
Wazungu Siku zote huwa wanaamini 'none is guilty until proven by the Court'
Lakin kwa Nguli Huyu kahukumiwa kwa tuhuma tu
Jana nilikuwa nasikiliza BBC wanasema Hata Kashfa Za Michael Jackson nazo zimeibuliwa kufuatia Makala tu ya Kwenye Gazeti na tayari Nchi kadhaa zimetangaza kutopiga Nyimbo zake
Freemasons kwa huku kwetu 'Kwa Kindande' Na kwa ' Biti Jongo' tunasema ukijitoa Kwenye Chama Cha Uchawi lazima wenzio wakuazimie kupotea
Mkuu kama unalink au source ya hiyo habari ya breezy na akizungumzia kuhusu kuachana na huo ushetani naomba dondosha maana naskiagaUnapokuwa member wa Freemason, wanakutumikisha hata kwa mambo yasiyofaa ili siku ukitaka kujitoa tu wakubane.
Mwaka 2016, Chris Brown alitangaza kuwa amechoka kumtumikia Shetani; hadi leo hajatoa mwendelezo wa kauli zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nimuulize Kanye West. Ha ha ha.Freemasons wameamua wachukue umaarufu wake Baada ya kujaribu kuwasaliti
Wazungu Siku zote huwa wanaamini 'none is guilty until proven by the Court'
Lakin kwa Nguli Huyu kahukumiwa kwa tuhuma tu
Jana nilikuwa nasikiliza BBC wanasema Hata Kashfa Za Michael Jackson nazo zimeibuliwa kufuatia Makala tu ya Kwenye Gazeti na tayari Nchi kadhaa zimetangaza kutopiga Nyimbo zake
Freemasons kwa huku kwetu 'Kwa Kindande' Na kwa ' Biti Jongo' tunasema ukijitoa Kwenye Chama Cha Uchawi lazima wenzio wakuazimie kupotea
IMESHAWAKUTA WATU KAMA MARTIN LAWRENCE, TYRESE, KANYE WEST, P.DD NA WENGINE KIBAO HAO JAMAA UKIINGIA KUTOKA NI NEEMA YA MUNGU TU. LAZIMA WAKUFILISI THEN WAKUFANYE MTU WA HOVYO KATIKA JAMII AU WAKUUE KABISAUnapokuwa member wa Freemason, wanakutumikisha hata kwa mambo yasiyofaa ili siku ukitaka kujitoa tu wakubane.
Mwaka 2016, Chris Brown alitangaza kuwa amechoka kumtumikia Shetani; hadi leo hajatoa mwendelezo wa kauli zake.
Sent using Jamii Forums mobile app