We kiboko ntajitahid nikufikieElfu....
Kwa hiyo huyo Recho ana matusi kumshinda Mange?
umemsahau malkia wa kuchambwa
nataka shari
kimbwimbwi
zari is my choice
Huu uzi wa kike,niliruka nitue kwengine nashangaa nimetua hapa
Mmh kuna sehemu umetaja uliweka picha yako kwa bahat mbaya,umeniogopeshaa maana haka ka mchezo ka kutupia picha humu kangeniumbua Siku moja na mie[emoji3] pole best ila yule dada jamani sijui ana nini alikua anatukana mpk watu wake wa karibu aiseeehh
juzi kamrusha wolper na kib10 chake [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji108] huku wanaitana mabinamuu
aibu yake sio ya nchi hii
Sent from my ZTE Kis3 max using JamiiForums mobile app
wengi mno wanatukana ili waongeze followers wapate pesa za kuishi mjini hapaNataka shari ni kamdada hivi kauswahilin maisha yamekapiga sana. Kanajulikana na picha zake zipo kwa who is the boss,kalishaumbuka simu nyingi ila kichwa ngumu tu. Hewalaa huyu malkia nae anajikuta jaman eti muarabu wa tanga,wanatukana watu ili wapate pesa za matangazo,na usipojipanga nae IPO day yake
Huyu zari my choice,namtembelele,pia alikuwepo zaris soldier(huyu alikoseaga akamchamba mtoto wa rafiki yake zari wa south,kuanzia hapo sijui walimtoa uteam maana kapotea)
[emoji1] shoga nshaumbuka humu@Bony alinishtua wasap fasta nkaremove weee usiombe kukutwa ilikaa kama nusu saa hv...!!!ni kua makini tu usikutweAsante best. Hahahah maskini sijui saiv ana hali gani sio kwa kuaibika huko
Kumbe ndo yeye aliekua anajipigia promo ya ndoa Mara mahari na full kujiita bibi harusi mtarajiwa
Mmh kuna sehemu umetaja uliweka picha yako kwa bahat mbaya,umeniogopeshaa maana haka ka mchezo ka kutupia picha humu kangeniumbua Siku moja na mie
Ila team wema wanachekeshaga,zari akitupia picha wao wa kwanza kuzidaka na kuzianika kwao wanamsahau kwa muda boss wao wemawengi mno wanatukana ili waongeze followers wapate pesa za kuishi mjini hapa
yule malkia wa kuchamba analipwa yule na lulu ili amtukane hamissaa sasa hv ana group la kufundisha limbwata [emoji3] [emoji3] yaani hawa wadada na wakaka wa mjini hapa wengi akili hawana
Sent from my ZTE Kis3 max using JamiiForums mobile app
Nilikuwa sitaki Ku comment ila ngoja nicomment tu
" Huu Uzi kama unakojoa ukiwa umechuchumaa uta subscribe".
Sent from my az using JamiiForums mobile app
Najifunza kwa mshana jrusiku huu unawanga?
please hide my ID!!Hayo mambo kumbe bado yanaendelea?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] boss wake yule mbona anamsaidia kumroga majay...Na anavyomsifia sasa,kila Saa lulu
Umenikumbusha lile gauni la pink alilovaa lulu juzi juzi full kujiedit wajanja wakaipata picha yake orijino,kumbe tumbo huwa anabana kwa crochet, chini anajaladia ili aonekane mnene. Picha halisi kabla ya editing IPO kwa katibu wa wambea
Ila team wema wanachekeshaga,zari akitupia picha wao wa kwanza kuzidaka na kuzianika kwao wanamsahau kwa muda boss wao wema
Hahahahaaaa....umemsahau malkia wa kuchambwa
nataka shari
kimbwimbwi
zari is my choice
Ningeshangaa sana kama angemzidi Mange kwa matusi.
Hahahahaaa.