Rachel Temu nani haswa?

Rachel Anderson Temu...........Nilikutana nae Marekani miaka ya 2000's,! my classmet shule ya msingi, nimemmiss sana
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Unampenda resty kwa sababu gani?
Niliendaga resty park kule oasis mbezi akanikaribisha vizuri, tukapiga soga, basi from there tukawa marafiki ( nikawa mteja wake)

She's nice kwakweli, hana shida kabisa
 
Achana nae..... Hiyo ndo karama yake
 
Rachel Anderson Temu...........Nilikutana nae Marekani miaka ya 2000's,! my classmet shule ya msingi, nimemmiss sana
Hivi alisomaga Uhuru ama Themi? Nakumbuka hoyce alisoma Arusha sec
 
Huyo rachel n HIV+, Kwahiyo asipomeza dawa huwa akili inavurugika, ndo huanza kutoa maneno ya hovyo.
Weka picha yake kwanza tuideku. Wengine huko mjini insta hatuna vibali vya kuingia.
 
Heeeh huna acc IG kwa kipi? Mbna unakosa mengi lol
-ve perception tu. Ujue insta wakati inaanza ilikuwa huwezi post bila picha. Sasa mm na maphoto photo vitu viwili tofauti. Halafu naiona iko too feminine... Ni mtazamo tuu
 
Niliendaga resty park kule oasis mbezi akanikaribisha vizuri, tukapiga soga, basi from there tukawa marafiki ( nikawa mteja wake)

She's nice kwakweli, hana shida kabisa
Ujue wengi wetu tunapenda kuwa judge watu kwa mambo yao ya nyuma.
Wakati watu wanakuwa na wanabadilika.
Inawezekana Resty kabadilika pia ndo maana wanamchamba mambo ya miaka 47.
Hawana jipya lake baba.
Kajitambua mama Hayley wa watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…