Rachel Temu nani haswa?

-ve perception tu. Ujue insta wakati inaanza ilikuwa huwezi post bila picha. Sasa mm na maphoto photo vitu viwili tofauti. Halafu naiona iko too feminine... Ni mtazamo tuu
Hongera yako bas, subiri watakuwekea picha yake, kuwa mpoleee tyuuuuh.
 
Kiboko yake Mange. Akianza kumchamba najikuta naomba toba mimi. Mange ana maneno machafu sana.
 
Yaani huko tuendako basi tu.Halafu social media ni wauaji wakubwa wa future za taifa. Mtu kama Gigy,amber Lulu wapo verified kabisa. Wana followers zaidi ya million na wengi ni underage.
Zimemfanya binti yangu haniamkii Wala nikimpa kitu hasemi Asante mpaka nimkumbushe.Ananiona tu Kama Kaka mkubwa!
 
Hahaa Huyo ni insanity yaani anaichamba avatar wakati mtu hamjui duuh!!!

So alikuwa insta live huku akiwa uchi kabisa.!?? Hata maporn star hawafanyi hivyo dunia simama nishuke
Uchi tu?? Alikua anajitia madole analamba, nilitetemeka ile siku
 
Yaani huko tuendako basi tu.Halafu social media ni wauaji wakubwa wa future za taifa. Mtu kama Gigy,amber Lulu wapo verified kabisa. Wana followers zaidi ya million na wengi ni underage.
Kwani kwa uelewa wako hiyo mitandao ni ya kishetani ambaye yupo kazini 24hrs na ndio maana tunambiwa kesheni mkiomba kwa maana hamjui siku wala saaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…