Radar na satelite zinafanyaje kazi zake?

Radar na satelite zinafanyaje kazi zake?

God'sBeliever

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2015
Posts
5,788
Reaction score
3,033
Radar na satelite zinafanyaje kazi zake?
Tumezisikia zikitumika kwenye vita na mfumo mziwa wa habari.
Kazi yake hasa kubwa ya satelite ni kufanya mawasiliano na kupiga picha sehemu mbalimbali za dunia hatimaye kuzituma kwenye computer inayokua under the control of man.

Hizi radar kazi yake ni kupokea mawimbi (radio waves) mfano kitu kikipita angani hizi radar zina detect, pia baharini, na nchi kavu.

Nashindwa kutofautisha minara ya simu na radar maana naona kazi ni ile ile tuu ya kufikisha mawasiliano sehemu mbali mbali ili yale madishi tuliyozoea kuyaita au antena iwe rahisi kuyapokea.

Wakuu wenye uelewa na haya mambo naomba tusaidie kuya break down tupate elimu wa hii teknolojia.

Natanguliza shukrani.
 
Mkuu Radar inasimama kama Radio Detection and Ranging Utofauti wake Na minara ya simu (Cell Tower) or BTS ni kuwa minara ya simu iko Programmed kabisa Kufanya connection ya vifaa Fulani Simu, Pc etc katika Frequency fulani, Radar yenyewe ina toa Waves Bila kujali kuwa itaenda kukutana na nini huko mbele ikiwa patatokea ikakutana na Kitu Basi itarejesha Reflection Reflection na Tutapima io reflection na kujua speed ya icho chombo na mwelekeo wake, Radar inapo to Em waves Haitumii sehemu specific kama simu yenye inatoa tuu na kumonitor reflection, Tofauti ya Radar na simu ni Frequency ya waves tu
 
Ngoja wazeee wa HKL na HGK tukae pembeni tuendee kutafuna pop con taratiibu....maana tunachojua ni
hadhira na fanani....fasihi andishi na fasihi simulizi ....kinjekitile ngwale na chief mangungo wa msovelo vs carl peters.
 
Ngoja wazeee wa HKL na HGK tukae pembeni tuendee kutafuna pop con taratiibu....maana tunachojua ni
hadhira na fanani....fasihi andishi na fasihi simulizi ....kinjekitile ngwale na chief mangungo wa msovelo vs carl peters.


Amsory ILA unajidunisha mno pls elewa elimu Ni popote na uzuri mumerahisishiwa humu jukwaan Hanna combo so you are free to learn and ask anything that u need to know

I beg to say sorry again
 
Back
Top Bottom