Ilikuwa mwaka1998 mechi ya kirafiki kati ya Bena Tshadi na Basang kutoka kasai m
mechi ilianza kawaida tu Mpaka pale mvua ilipoanza kunyesha,timu ya basang ilitoka nje ya uwanja kufuatia mvua hiyo, dakika kadhaa baadaye radi iliwashukia hao wachezaji wa Bena tshadi wakiwa katika ya uwanja, (wengi huamini kuwa tukio hilo ni la kiuchawi , kwa kuwa kulikuwa na kutoelewana kati ya maeneo wachezaji walipotokea)