Radiator fan inazunguka polepole,haina ile speed yake ya kawaida. Shida ipo wapi?

Radiator fan inazunguka polepole,haina ile speed yake ya kawaida. Shida ipo wapi?

Mkuu Tractor , kama alivyosema stoplight hapo juu, inaelekea wewe hauielewi vizuri feni inavyofanya kazi.

Ukiwasha AC inaanza kufanya kazi pale pale. Kwa maana AC inahitaji mzunguko wa hewa na ile feni ndio itasaidia.

Ukiwa haujawasha AC, ila ukawasha gari feni haianzi kuzunguka mara moja. Ila hadi engine ipate joto, then computer ya gari ikishajua engine imevuka joto fulani (mfano 80 centigrade), inamuambia water pump aanze kuzungusha maji yakapooze engine. Sada yale maji yaliyotoka kupooza engine nayo yanakuja kwenye radiator yanapozwa na ile feni.

Feni inakua na speed ndogo ukiwa maeneo yenye baridi sana na gari ikiwa kwenye mwendo kwakua ule upepo unaokutana nao ukiwa kwenye mwendo inasaidia kupooza.

Mzungu noma aisee.
 
Radiator fan inazunguka polepole,haina ile speed yake ya kawaida. Shida ipo wapi? Gari yangu Nissan Note, ila gari halichemshi, naombeni msaada.
Jitula miraba minne. Msaada mkuu

Kwenye Nissan, Radiator Fan ina phase 3 za Speed.

Low , Medium na High.

Unless kama Medium na High hazifanyi kazi, Na inawezekana kutest. Otherwise endesha gari lako.
 
Mkuu Tractor , kama alivyosema stoplight hapo juu, inaelekea wewe hauielewi vizuri feni inavyofanya kazi.

Ukiwasha AC inaanza kufanya kazi pale pale. Kwa maana AC inahitaji mzunguko wa hewa na ile feni ndio itasaidia...
Pump ya engine huwa inazunguka muda wote. Kinachoruhusu maji yazunguke au yasizunguke ni Thermostat.
 
Huwezi weka breather kwa ya kupitusha maji wakati umeyaziba kwa maamuzi. As far as I know, breather ipo kudeal na abnormal situations, si za kupanga

Sasa breather ina kazi gani?

Kwa sababu pump inazungushwa muda wote na belt.

So pumping inafanyika muda wote.
 
Mm ninacho jua icho kitundu ni kuruhusu maji kutoka pindi water seal inapo kufa (kukuonesha kifo cha water pump)
 
Nimejifunza.. gari yangu inachemsha ila tangu ninunuue haijawH ndo juz nikaambiwa na jamaa tazama kuna moshi kucheki pipe mbili xa kutoka kwenye radiator kwenda kwenye injini ni za moto kweli ikabd nipunguze spid .... moshi hautoki kwenye radiator ila pipe zimechemka ... nashauriwa kutoa thermostat imekaaje mkuuuu?
Pump ya engine huwa inazunguka muda wote. Kinachoruhusu maji yazunguke au yasizunguke ni Thermostat.
 
Huwezi weka breather kwa ya kupitusha maji wakati umeyaziba kwa maamuzi. As far as I know, breather ipo kudeal na abnormal situations, si za kupanga
Mtaalamu, nime-quote hii kujaribu kuweka wazo langu kwenye swali lako la msingi kule juu.

Nadhani coolant huwa inajazwa kawaida tu bila presha yoyote au tuseme inakuwa sawa na presha iliyotuzunguka.

Pump inapotembea, ni kwaajili ya kutengeneza flow na si pressure. Thermostat ni kwaajili ya kuelekeza muelekeo wa coolant ama itokayo kwenye injini au itikayo kwenye radiator, ipite wapi/ipi iende kwenye injini.

Njia moja ikifungwa na thermostat, basi pump itakuwa ikiyazungusha hayo maji kwenye huo mzunguko wa njia iliyowazi bila kutengeneza pressure zaidi.
 
Nimejifunza.. gari yangu inachemsha ila tangu ninunuue haijawH ndo juz nikaambiwa na jamaa tazama kuna moshi kucheki pipe mbili xa kutoka kwenye radiator kwenda kwenye injini ni za moto kweli ikabd nipunguze spid .... moshi hautoki kwenye radiator ila pipe zimechemka ... nashauriwa kutoa thermostat imekaaje mkuuuu?
Huyo ni fundi maiko ILA sema nini, achana na uandishi huo basi kwenye mada za jukwaa hili.
 
nahsi capacitor ako haiko sawa na hii hupelekea kuchosha pumb jarbu chungulia io mambo
 
Nimejifunza.. gari yangu inachemsha ila tangu ninunuue haijawH ndo juz nikaambiwa na jamaa tazama kuna moshi kucheki pipe mbili xa kutoka kwenye radiator kwenda kwenye injini ni za moto kweli ikabd nipunguze spid .... moshi hautoki kwenye radiator ila pipe zimechemka ... nashauriwa kutoa thermostat imekaaje mkuuuu?

Thermostat kama mbovu unabadilishwa na kutolewa.

Muulize huyo fundi gari siku zingine zote ilikuwa inatembeaje?
 
Back
Top Bottom