Radio call zinauzwa

mohamedidrisa789

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2015
Posts
5,258
Reaction score
22,552
Pata radio call kwa matumizi ya usalama na shambani. Mpya kabisa hazijatumika zipo 4.

Bei Tsh 250, 000 kwa zote, maongezi yako.

Zipo Dar

0652868486
 
Hizo huwa tunazitumia kwenye kufanya geological survery tulikuwa tunashida nazo ila kwa sasa bado hatuna hela maybe nishauriane na watu wangu kama utakuwa bado hujaziuza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…