Radio Free Africa mnatulaza macho

rosemarie

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
6,887
Reaction score
3,420
kitendo cha nyie kuwa na ratiba ya vipindi muhimu usiku mnatulaza macho!!!!
jumapili mtangazaji alisema mnapitia mawazo ya wana jf,
naomba msome mawazo yangu hapa,

jumanne kipindi cha uliza ujibiwe
jumatano dk wa mapenzi
alihamis za kale ni dhahabu.

naomba mpange vipindi vyenu mapema kidogo,mnatulaza macho!!!!!!!!!
lakini hongereni sana!!!!!!!
 
Ingekuwa vema kama ungewatumia mail juu ya hili! Hata hivyo the issue is too personal.
 
Hapo sina ujanja mie nikipata porojo za Somboko na wadau wengine nalala murua kabisa!!
 
Ila hawa jamaa ni kiboko, unaweza kushtuka usiku na wasikilizaji wanapiga simu za salamu saa tisa usiku!
 
Reactions: EMT
Ila hawa jamaa ni kiboko, unaweza kushtuka usiku na wasikilizaji wanapiga simu za salamu saa tisa usiku!

Mkuu nina wasiwasi watakuwa ni hawa watu wa ungo. lol

 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…