Radio IMAAN - Maoni ya Katiba

Radio IMAAN - Maoni ya Katiba

Kisendi

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2009
Posts
699
Reaction score
179
Hii Radio huwa natafakari imeanzishwa kukashifu dini zingine au lengo lake hasa ni nini??
Leo Asubuhi nimesikia wakizungumzia mchakato wa katiba mpya. Jambo ambalo wamelipa kipaumbele katika mazungumzo yao ni kuhusu maoni ya waislamu kutoa maoni yao kwa kuomba mahakama ya kadhi na kujiunga na OIC jambo ambalo mimi binafsi sikuwa na tatizo na hilo, ila mashaka yangu ni pale walipoingiza masula ya kuwa wakristo wao hawakupeleka maoni bali walienda kupinga mahakama ya kadhi na kujiunga na Islamic country. Pia wakadai kuna chuo kimoja ambacho ni cha wakiristo wamefanya kikao na wasomi wa kikristo kujiandaa kwenda kupinga kuhusu mahakama ya kadhi na n.k!! Swali langu kwao wao kama wao lengo lao ni wakristo kuwazuia maoni yao kwa mantiki kwamba tume imeundwa kwa ajili ya kupokea na kukubali. Mimi nawaomba wajipange, wahamasishe waislamu kuchangia katika kujenga mashule, miradi na kushirikiana na dini zote ili kuleta umoja. Mfano ukienda leo St Augustino mpaka kuna msikiti pale, ukienda kule Bukoba asilimia 80% ya hospitali ni za makanisa na wanatibiwa watz wote ukienda pale huulizwi we dini hapana, serikali imesecond watumishi wa kila aina lakini wao leo pale Morogoro kwenye chuo wameweka masharti magumu mno kiasi kwamba Mkristo atashindwa kujiunga pale au kufundisha na ndio maana chuo kinalegalega lakini wakifanya chuo kiwe imara wapunguze masharti lakini zile nyadhifa za juu ziwe kwa wasomi waislamu.

Tutafakari sisi sote ni Watz, suala la udini halitatufikisha popote. Hivi leo hii mkuu wa NECTA akiwa muuislamu wewe kama muislamu utaifaidika nini kwenye maisha yako ya kila siku, hata akiwa mkiristo wewe kama mkiristo utafaidika na nini, mfano mkapa alikuwa rais je wakiristo wa kawaida tumefaidika nini, ametujengea nyumba la hasha.
Tutafakari.
 
Radio Imaan ni distraction ambayo inakua monitored na Sultan Mungungu wa Bagamoyo. You can take this to the bank.
 
Hakuna kashfa yoyote unataka watu wasijadili mchakato wa katiba.
 
Hii Radio huwa natafakari imeanzishwa kukashifu dini zingine au lengo lake hasa ni nini??
Leo Asubuhi nimesikia wakizungumzia mchakato wa katiba mpya. Jambo ambalo wamelipa kipaumbele katika mazungumzo
Tutafakari sisi sote ni Watz, suala la udini halitatufikisha popote. Hivi leo hii mkuu wa NECTA akiwa muuislamu wewe kama muislamu utaifaidika nini kwenye maisha yako ya kila siku, hata akiwa mkiristo wewe kama mkiristo utafaidika na nini, mfano mkapa alikuwa rais je wakiristo wa kawaida tumefaidika nini, ametujengea nyumba la hasha.
Tutafakari.

Toa maoni hiyo redio ifungiwe maana inakukera sana. Acha na wao watoe mawazo yao. Si ndio frredom of expression?
 
Hii Radio huwa natafakari imeanzishwa kukashifu dini zingine au lengo lake hasa ni nini??
Leo Asubuhi nimesikia wakizungumzia mchakato wa katiba mpya. Jambo ambalo wamelipa kipaumbele katika mazungumzo yao ni kuhusu maoni ya waislamu kutoa maoni yao kwa kuomba mahakama ya kadhi na kujiunga na OIC jambo ambalo mimi binafsi sikuwa na tatizo na hilo, ila mashaka yangu ni pale walipoingiza masula ya kuwa wakristo wao hawakupeleka maoni bali walienda kupinga mahakama ya kadhi na kujiunga na Islamic country. Pia wakadai kuna chuo kimoja ambacho ni cha wakiristo wamefanya kikao na wasomi wa kikristo kujiandaa kwenda kupinga kuhusu mahakama ya kadhi na n.k!! Swali langu kwao wao kama wao lengo lao ni wakristo kuwazuia maoni yao kwa mantiki kwamba tume imeundwa kwa ajili ya kupokea na kukubali. Mimi nawaomba wajipange, wahamasishe waislamu kuchangia katika kujenga mashule, miradi na kushirikiana na dini zote ili kuleta umoja. Mfano ukienda leo St Augustino mpaka kuna msikiti pale, ukienda kule Bukoba asilimia 80% ya hospitali ni za makanisa na wanatibiwa watz wote ukienda pale huulizwi we dini hapana, serikali imesecond watumishi wa kila aina lakini wao leo pale Morogoro kwenye chuo wameweka masharti magumu mno kiasi kwamba Mkristo atashindwa kujiunga pale au kufundisha na ndio maana chuo kinalegalega lakini wakifanya chuo kiwe imara wapunguze masharti lakini zile nyadhifa za juu ziwe kwa wasomi waislamu.

Tutafakari sisi sote ni Watz, suala la udini halitatufikisha popote. Hivi leo hii mkuu wa NECTA akiwa muuislamu wewe kama muislamu utaifaidika nini kwenye maisha yako ya kila siku, hata akiwa mkiristo wewe kama mkiristo utafaidika na nini, mfano mkapa alikuwa rais je wakiristo wa kawaida tumefaidika nini, ametujengea nyumba la hasha.
Tutafakari.

Tatizo uliifungua kuiskiliza tayari ukiwa na msukumo fulani. wala kwa aliyekuwa anasikiliza positively hawezi andika kichwa cha habari cha kipuuzi namna hiyo. watu kama wewendio taizo tonalotakiwa kulishughulikia. maana ukisema wewe sio tatizo ila ni tatizo akisema mwingine mawazo yanayokuzuwia usiwe mdhurumaji unaona wanachochea. Unamatatizo ktk memory card yako
 
Hii Radio huwa natafakari imeanzishwa kukashifu dini zingine au lengo lake hasa ni nini??
Leo Asubuhi nimesikia wakizungumzia mchakato wa katiba mpya. Jambo ambalo wamelipa kipaumbele katika mazungumzo yao ni kuhusu maoni ya waislamu kutoa maoni yao kwa kuomba mahakama ya kadhi na kujiunga na OIC jambo ambalo mimi binafsi sikuwa na tatizo na hilo, ila mashaka yangu ni pale walipoingiza masula ya kuwa wakristo wao hawakupeleka maoni bali walienda kupinga mahakama ya kadhi na kujiunga na Islamic country. Pia wakadai kuna chuo kimoja ambacho ni cha wakiristo wamefanya kikao na wasomi wa kikristo kujiandaa kwenda kupinga kuhusu mahakama ya kadhi na n.k!! Swali langu kwao wao kama wao lengo lao ni wakristo kuwazuia maoni yao kwa mantiki kwamba tume imeundwa kwa ajili ya kupokea na kukubali. Mimi nawaomba wajipange, wahamasishe waislamu kuchangia katika kujenga mashule, miradi na kushirikiana na dini zote ili kuleta umoja. Mfano ukienda leo St Augustino mpaka kuna msikiti pale, ukienda kule Bukoba asilimia 80% ya hospitali ni za makanisa na wanatibiwa watz wote ukienda pale huulizwi we dini hapana, serikali imesecond watumishi wa kila aina lakini wao leo pale Morogoro kwenye chuo wameweka masharti magumu mno kiasi kwamba Mkristo atashindwa kujiunga pale au kufundisha na ndio maana chuo kinalegalega lakini wakifanya chuo kiwe imara wapunguze masharti lakini zile nyadhifa za juu ziwe kwa wasomi waislamu.

Tutafakari sisi sote ni Watz, suala la udini halitatufikisha popote. Hivi leo hii mkuu wa NECTA akiwa muuislamu wewe kama muislamu utaifaidika nini kwenye maisha yako ya kila siku, hata akiwa mkiristo wewe kama mkiristo utafaidika na nini, mfano mkapa alikuwa rais je wakiristo wa kawaida tumefaidika nini, ametujengea nyumba la hasha.
Tutafakari.
:A S-baby:
:A S-baby:Sio makosa yako uliingia na matokeo uwanjani kabla mechi haijaanza ulikuwa unasikiliza kwa njia ya positive jipange upya UME BUGGIMAN
 
OIC should implement the following verses in the Quaran

"...now that a Book confirming their own has come to them from God, they deny it...they reply: 'We believe in what was revealed to us.' But they deny what has since been revealed, although it is truth...Say: 'Whoever is an enemy of Gabriel' (who has by God's grace revealed to you [Muhammad] the Koran as a guide...confirming previous scriptures)..will surely find that God is the enemy of the unbelievers.'...And now that an apostle has come to them from God confirming their own Scriptures, some of those to whom the Scriptures were given cast off the Book of God behind their backs...The unbelievers among the People of the Book, and the pagans, resent that any blessings should have been sent down to you from your Lord. " (Surah 2:88-, 98-, 103-)

"Slay them wherever you find them...Idolatry is worse than carnage...Fight against them until idolatry is no more and God's religion reigns supreme." (Surah 2:190-)

"Fighting is obligatory for you, much as you dislike it." (Surah 2:216)

"Men are tempted [in this life] by the lure of women...far better is the return of God. Say: 'Shall I tell you of better things than these, with which the righteous shall be rewarded by their Lord? Theirs shall be gardens watered by running streams, where they shall dwell for ever: wives of perfect chastity..." (Surah 3:14, 15)

"The only true faith in God's sight is Islam." (Surah 3:19)
"Believers, do not make friends with any but your own people...They desire nothing but your ruin....You believe in the entire Book...When they meet you they say: 'We, too, are believers.' But when alone, they bite their finger-tips with rage." (Surah 3:118, 119)

"If you should die or be slain in the cause of God, His forgiveness and His mercy would surely be better than all the riches..." (Surah 3:156-)

"To those that declare: 'God has commanded us to believe no apostle unless he brings down fire to consume an offering,' say: 'Other apostles before me [Muhammad] have come to you with veritable signs and worked the miracle you asked for...If they reject you [Muhammad], other apostles have been rejected before you..." (Surah 3:183-)

"If you wish to replace a wife with another, do not take from her the dowry you have given her..." (Surah 4:20)

"Forbidden to you are...married women, except those you own as slaves." (Surah 4:20-, 24-)

"Believers, do not approach your prayers when you are drunk, but wait till you can grasp the meaning of your words..." (Surah 4:43)

"Seek out your enemies relentlessly." (Surah 4:103-)

"Try as you may, you cannot treat all your wives impartially." (Surah 4:126-)

"The Jews and Christians say: 'We are the children of God and His loved ones.' Say: 'Why then does He punish you for your sins?" (Surah 5:18)

"Believers, take neither Jews nor Christians for your friends." (Surah 5:51)

"The God will say: 'Jesus, son of Mary, did you ever say to mankind 'Worship me and my mother as gods besides God?' 'Glory to You, 'he will answer, 'how could I ever say that to which I have no right?" (Surah 5:114-)

"Believers, when you encounter the infidels on the march, do not turn your backs to them in flight. If anyone on that day turns his back to them, except it be for tactical reasons...he shall incur the wrath of God and Hell shall be his home..." (Surah 8:12-)

"Make war on them until idolatry shall cease and God's religion shall reign supreme." (Surah 8:36-)
"If you fear treachery from any of your allies, you may fairly retaliate by breaking off your treaty with them." (Surah 8:51-)
"...make war on the leaders of unbelief...Make war on them: God will chastise them at your hands and humble them. He will grant you victory over them..." (Surah 9:12-)

"It ill becomes the idolaters [non-Muslims] to visit the mosques of God..." (Surah 9:17)

"Fight against such as those to whom the Scriptures were given [Jews and Christians]...until they pay tribute out of hand and are utterly subdued." (Surah 9:27-)

"It is He who has sent forth His apostle with guidance and the true Faith [Islam] to make it triumphant over all religions, however much the idolaters [non-Muslims] may dislike it." (Surah 9:31-)

"If you do not fight, He will punish you sternly, and replace you by other men." (Surah 9:37-)

"Prophet make war on the unbelievers and the hypocrites and deal rigorously with them. Hell shall be their home." (Surah 9:73)
"Believers, make war on the infidels who dwell around you. Deal firmly with them." (Surah 9:121-)

"Say: 'Praise be to God who has never begotten a son; who has no partner in His Kingdom..." (Surah 17:111)

"'How shall I bear a child,' she [Mary] answered, 'when I am a virgin...?' 'Such is the will of the Lord,' he replied. 'That is no difficult thing for Him...God forbid that He [God[ Himself should beget a son!...Those who say: 'The Lord of Mercy has begotten a son,' preach a monstrous falsehood..." (Surah 19:12-, 29-, 88)
"Fight for the cause of God with the devotion due to Him...He has given you the name of Muslims..." (Surah 22:7😎
"Blessed are the believers...who restrain their carnal desires (except with their wives and slave-girls, for these are lawful to them)...These are the heirs of Paradise..." (Surah 23:1-5-)

"You shall not force your slave-girls into prostitution in order that you make money, if they wish to preserve their chastity." (Surah 24:33-)

"As for the faithful who do good works and believe what is revealed to Muhammad...He will forgive them their sins..." (Surah 47:1)

"Muhammad is God's apostle. Those who follow him are ruthless to the unbelievers but merciful to one another." (Surah 48:29)

"Shall the reward of goodness be anything but good?...Dark-eyed virgins sheltered in their tents...They shall recline on green cushions and fine carpets...Blessed be the name of your Lord..." (Surah 55:52-66-)
 
Mkuu hawa watu wana negative mentality hakuna utakachowaambia wakakusikiliza....kitu cha msingi ni kuwapigia makofi katika kila wanachokisema ni kawaida ya maisha ya mtu mpumbavu...
 
Ukielewa nini tofauti ya formal education na informal education hutaangaika na radio hiyo...... kwaheli, ila ipo siku tutapa rais chizi watajielewa tu.....
 
Hii Radio huwa natafakari imeanzishwa kukashifu dini zingine au lengo lake hasa ni nini??
Leo Asubuhi nimesikia wakizungumzia mchakato wa katiba mpya. Jambo ambalo wamelipa kipaumbele katika mazungumzo yao ni kuhusu maoni ya waislamu kutoa maoni yao kwa kuomba mahakama ya kadhi na kujiunga na OIC jambo ambalo mimi binafsi sikuwa na tatizo na hilo, ila mashaka yangu ni pale walipoingiza masula ya kuwa wakristo wao hawakupeleka maoni bali walienda kupinga mahakama ya kadhi na kujiunga na Islamic country. Pia wakadai kuna chuo kimoja ambacho ni cha wakiristo wamefanya kikao na wasomi wa kikristo kujiandaa kwenda kupinga kuhusu mahakama ya kadhi na n.k!! Swali langu kwao wao kama wao lengo lao ni wakristo kuwazuia maoni yao kwa mantiki kwamba tume imeundwa kwa ajili ya kupokea na kukubali. Mimi nawaomba wajipange, wahamasishe waislamu kuchangia katika kujenga mashule, miradi na kushirikiana na dini zote ili kuleta umoja. Mfano ukienda leo St Augustino mpaka kuna msikiti pale, ukienda kule Bukoba asilimia 80% ya hospitali ni za makanisa na wanatibiwa watz wote ukienda pale huulizwi we dini hapana, serikali imesecond watumishi wa kila aina lakini wao leo pale Morogoro kwenye chuo wameweka masharti magumu mno kiasi kwamba Mkristo atashindwa kujiunga pale au kufundisha na ndio maana chuo kinalegalega lakini wakifanya chuo kiwe imara wapunguze masharti lakini zile nyadhifa za juu ziwe kwa wasomi waislamu.

Tutafakari sisi sote ni Watz, suala la udini halitatufikisha popote. Hivi leo hii mkuu wa NECTA akiwa muuislamu wewe kama muislamu utaifaidika nini kwenye maisha yako ya kila siku, hata akiwa mkiristo wewe kama mkiristo utafaidika na nini, mfano mkapa alikuwa rais je wakiristo wa kawaida tumefaidika nini, ametujengea nyumba la hasha.
Tutafakari.

tujiunge na islamic country kwa sie nchi ya kiislamu?
 
Waarab na uislam walitutesa kinyama kupitia biashara ya utumwa! Wazungu na ukristo wao walichukua ardhi wakatuachia Biblia. Eti hadi leo tunashupalia ujinga. Big up Prof Baregu kwa kukataa ujinga
 
Radio imman ni redio iliyoanzishwa na Abood,siku ipo itajifunga yenyewe,kama watumishi watakosa mishahara utawasikia wanatuma maombi hata radio maria,agape tv,radio sauti n.k kuanzisha radio sio tatizo tatizo ni kuiendesha(reccurent costs)
 
Sioni 7bu ya baadhi ya wana member kutokwa na mapovu kiasi hiki humu ndani eti kisa ni mahakama ya kadhi na OIC. Na hapa ndipo utakapogundua kuwa hii nchi ipo katika mfumo gani!!
Hebu tujifunze kwa Wakenya au Uganda. Hawa wenzetu hiyo mifumo wanayo na kuna idadi lukuki ya wakristo mbona hawakuwa na mawazo mgando kama mliyonayo wakristo wa Tanzania? Hata hayo mnayoyahofia ya Tanzania kusilimishwa pindi tu itakapojiunga na OIC au mahakama ya kadhi je hizo nchi ambazo tayari zimejiunga kwayo tayari zimesilimishwa? Jamani!! Zanzibari ni sehemu ya ardhi ya Tanzania wao wanayo mahakama ya kadhi mlishawahi kusikiya ikiripotiwa kuwa mtu kakatwa mkono au kupigwa mawe mpaka kufa? Inanipa shaka hata siku atakayorudi Masihi Issa mwana wa Mariamu mjumbe wa Mwenyezi Mungu mtakuja kumkataa kuwa siye.
 
tujiunge na islamic country kwa sie nchi ya kiislamu?
mi nakwambia kama mtu hujaenda shule taaabu kuelewa, yaani hawataelewa na watapinga mpaka kuche, washaambiwa waanzishe mahakama kwa pesa yao na kadhi wamlipe wao,jaman nchi haina dini, msituletee boko haram hapa
 
Madrasa hao walimu wao hata darasa la pili walifeli, ndo maana wanafundisha tofauti na uislam ulivyo
 
NAKWAMBIA MIAFRIKA MIJINGA , INAPIGANIA DINI BADALA YA KUMTII MUNGU NA KUFANYA MEMA, HAO WAARABU WALITESA BABU ZETU NA TENA WAKALETA UFIRAUNI, NA WAZUNGU WAKAIBA MADINI YETU lakini kwa ujinga wetu tunalumbana
 
maoni ya katiba kwa kutukana ukristo? sisi wakristo hatuna maneno ya kumkashifu mtu ndo maana mnatuchokoza
 
Natamani waislam woote wangekua wanaangalia TV ya kiislam ipo stertimes I think jamaa wapo poa zaidi ya unafiki wa hizi redio na tv imaan!
 
Back
Top Bottom