mchecheto
JF-Expert Member
- Oct 30, 2014
- 1,532
- 1,462
Habarini wanajukwaa?
kwa wale wakatoliki hii itatugusa zaidi.
Ni ukweli usiopingika kwamba hii radio station inayoitwa Radio Maria inafanya kazi kubwa kuinjilisha kwa njia mbali mbali kama mafundisho ya imani,nyimbo nzuri za dini,tafakari ya biblia nk.
Kituo hiki kinaendeshwa na michango ya waumini.
Kero yangu:
Hiki kituo kila saa ni matangazo ya kuomba michango ya kukiendesha .Hakuna mpango wa kutengeneza michango ya kukiendeleza na sidhani kama ipo.
Maswali yangu?
1.Kwanini hii radio station isirndeshwe kibiashara kama zilivyo nyingine ili kuniendesha bila kutegemea michango?
2.Kwanini wasifikirie kujenga vitega uchumi ili kukidhi garama za yendeshaji badala ya kutegemea 50 za waumini?
3.Mbona wasiige mfano wa radio Tumaini ambayo haiombi michango?
4.kwanini hawatangazi matumizi kama walivyo hodari kuomba msaada?
Hii kuomba omba kila saa inakera kwa sababu unakuta mtu anataka kabda kusikiliza mafundisho au kwaya unakutana na kipundi cha michango tena cha lisaa lizima.
Jitafakarini kama hamjiwezi muwape wenye pesa wakiendeshe na sii kuomba kila saaa
Nakaribisha mawazo pia
Asanteni
kwa wale wakatoliki hii itatugusa zaidi.
Ni ukweli usiopingika kwamba hii radio station inayoitwa Radio Maria inafanya kazi kubwa kuinjilisha kwa njia mbali mbali kama mafundisho ya imani,nyimbo nzuri za dini,tafakari ya biblia nk.
Kituo hiki kinaendeshwa na michango ya waumini.
Kero yangu:
Hiki kituo kila saa ni matangazo ya kuomba michango ya kukiendesha .Hakuna mpango wa kutengeneza michango ya kukiendeleza na sidhani kama ipo.
Maswali yangu?
1.Kwanini hii radio station isirndeshwe kibiashara kama zilivyo nyingine ili kuniendesha bila kutegemea michango?
2.Kwanini wasifikirie kujenga vitega uchumi ili kukidhi garama za yendeshaji badala ya kutegemea 50 za waumini?
3.Mbona wasiige mfano wa radio Tumaini ambayo haiombi michango?
4.kwanini hawatangazi matumizi kama walivyo hodari kuomba msaada?
Hii kuomba omba kila saa inakera kwa sababu unakuta mtu anataka kabda kusikiliza mafundisho au kwaya unakutana na kipundi cha michango tena cha lisaa lizima.
Jitafakarini kama hamjiwezi muwape wenye pesa wakiendeshe na sii kuomba kila saaa
Nakaribisha mawazo pia
Asanteni