Sio wafanye biasharbona: Wapate miradi ya kuendesha kituo
Matangazo kama ya kuhimiza kutumia net, kwenda hospitali, matanagzo ambayo yapo kijamii zaidi
Mbona baadhi ya parokia zina miradi pamoja na kwamba waumini tunatoa sadaka,
Hii dini yetu hasa huko makanisan wameacha kutia mkazo kuhubiri injili badala yake wanasaka hela kwa michango ya kulazimishana.
Ni ukwel usiopingika wezetu Waluteri wamekuwa ni mfano mzuri wa kuigwa..mahubiri mazuri yenye kumjenga mtu kiuchumi ,kiroho, na kimwil na ndio maana wanatoa kwa moyo bila kulazimishana..