Radio One mnatuchosha na "nukuu za ... Rais"

Radio One mnatuchosha na "nukuu za ... Rais"

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,597
Reaction score
16,394
Mimi sio mtumiaji na mfuatiliaji wa media za kibongo sababu zinachosha na kukera. Kuna baadhi ya vipindi vichache huwa najaribu kuvusikiliza. Radio one mnanikera kila baada ya mda kurushia nukuu za sa100. Ukweli huwa nalazimika kubadilisha station, "na hili mkalitizame"
 
Mimi sio mtumiaji na mfuatiliaji wa media za kibongo sababu zinachosha na kukera. Kuna baadhi ya vipindi vichache huwa najaribu kuvusikiliza. Radio one mnanikera kila baada ya mda kurushia nukuu za sa100. Ukweli huwa nalazimika kubadilisha station, "na hili mkalitizame"
[emoji16]
 
Tena kama ile hotuba yake wakati akisaini waraka wa kumkasimisha mamlaka bwana mnyaa Mbawala ili kutia sahihi kwenye ule mkataba wa DPW kiukweli ninaipenda sana "NA HILI MKALITIZAME"
 
Redio one nilikuwa nasikililiza kipindi cha ijumaa vibao vya zamani ila niliacha kutokana na kusikilizishwa kitu nisichokipenda km hicho
 
Redio one nilikuwa nasikililiza kipindi cha ijumaa vibao vya zamani ila niliacha kutokana na kusikilizishwa kitu nisichokipenda km hicho
Hata mimi ndicho kilikuwa kipindi changu pendwa, nilikuwa najitahidi ku mute mara kwa mara ila sasa nasikiliza Abood fm jumapili na ufm wanavyo vipindi kama hivyo alhamisi na jumamosi
 
Back
Top Bottom