Binafsi ningeshauri uiite jina la wilaya iliyomo. Mfano, Kilosa Fm, Mikumi fm,au Mvomero Fm.
Huu Ushauri ni Mzuri Mkuu Lakini Nadhani Ni Vyema Ukaangalia Coverage ya Matangazo Yako. Majina ya Wilaya au Maeneo Ambayo Purely ni ya Morogoro, Yanaweza Kufanya Redio Yako Iwe Kama ya Morogoro tu. Kwa Mfano, Kule Mahenge Kuna Ulanga Fm. Mimi Nikiwa Tanga Kwetu Huku Nikatune Frequency Halafu Inakuja Ulanga Fm, Sitasikiliza Mana Ntahisi ni Redio ya Wapogoro. Hii ni Assumption Mkuu Sio Lazma Iwe Hivi.
Hivyo Mimi Nadhani Angalia Coverage ya Matangazo Yako. Kama Unalenga Tanzania Nzima Basi Nashuri Usitumie Majina Hayo. Tumia Jina Lisilo Maanisha Mkoa au Wilaya Flani Moja kwa Moja.
Au Iite Pride Radio, Sauti Radio, City Fm Radio, na Radio Star Fm....
nimeishia hapo
City Fm Radio Nadhani Ipo Tayari.
Nashauri Utumie Majina ya Kiswahili/Kiingereza Ambayo ni Rahisi Hata Kutamkika. Kwa Mfano Aliyekushauri
Uluguru Fm Nakubaliana Naye.
Japo Kwa Kiasi Kikubwa Namna Utakavyopangiria Mfumo na Ubora wa Vipindi Vyako Pia Kwa Kiasi Kikubwa Itafanya Jina la Redio Liwe Maarufu na Kuzoeleka Sana.
Kaa na Uchunguze Kwa Makini What Makes these Radio Brands to be popular in a country? RFA, Radio One, Clouds Fm, E-Fm, Radio Five, Na Nyinginezo. Unaweza Kupata Chemistry Nzuri ya Jina Lako.
Observe Kwa Makini Jinsi E-Fm Ilivyoibuka na Kuwa Redio Inayosikilizwa na Watu Wengi Sana Dar. Itakusaidia Mkuu.
Labda na Mimi Nipendekeze Machache Hapa.
Uluguru Fm.
Info Fm.
Kila la Kheri Mkuu.