Radio za kidini na Matangazo ya Biashara

Radio za kidini na Matangazo ya Biashara

Nao wanahitaji pesa kuendesha kituo chao
Huwa napenda kukaa mbele wakati wa ibada. Maneno yafuatayo ni ya kawaida sana: "waongo wote sehemu yao ni lile ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti"
Wao hawauogopi huo moto wa mateso makali sana?
Unageuzwa-geuzwa kama maandazi!
 
Kwanini redio hizi nazo zinahusika kwenye Matangazo haya ambayo mengi ni ya uongo-uongo?
Mfano:"Aaa! jirani unahangaika bure, dawa ni moja tu!(anaitaja) zingine zote fake!
Fuatilia pesa wanayotakiwa kulipa kila serikalini halafu uje utupe mrejesho. Bila matangazo ya biashara hawataweza kujiendesha na kulipa mishahara
 
Fuatilia pesa wanayotakiwa kulipa kila serikalini halafu uje utupe mrejesho. Bila matangazo ya biashara hawataweza kujiendesha na kulipa mishahara
Maandiko yanasema waongo wote sehemu yao ni ziwa la moto linalochemka kama mafuta ya kukaangia maandazi!!
Ukimuunga mkono mwizi na wewe ni mwizi!
 
Kwanini redio hizi nazo zinahusika kwenye Matangazo haya ambayo mengi ni ya uongo-uongo?
Mfano:"Aaa! jirani unahangaika bure, dawa ni moja tu!(anaitaja) zingine zote fake!
Taja Redio mojawapo ?
 
Back
Top Bottom