Kuna jamaa anaitwa Rado. Kwa majigambo anaonesha ni artist katika sanaa nzima ya Bongo movie.
Mdau huyu nilimsika kwenye tv(sikumbuki tv gani na kipindi gani) akimueleza presenter kua wasanii wa kike wa Bongo fleva hawana sifa za kuolewa. Sababu kuu akiitaja wamekaa kisela sana. Hawana ile hali ya uanamke. Wana udumdume sana.
Akamtaja msanii mmoja anayekwenda kwa jina Giggy Money kua ndiye pekee yake anaye meet qualifications za kuolewa.