Mkuu ww ni mshabiki wa Newcastle nn?Unakumbuka ni mechi ngapi aliyoisimamia hii timu kabla haijashuka daraja ?
Hapana mkuu , mimi ni mchambuzi wa soka wa kimataifa na pia ni mfadhili wa SimbaMkuu ww ni mshabiki wa Newcastle nn?
Diame ni mzigo mzito sana , mitrovic na Ayoze wanafunga kwa vile Shelvey anapiga mipira hadi 100 kwenye 18 kwa game 1 sasa hata ungekuwa butu kiasi gani ni lazima utafunga tu .Hahaha
We jamaa inaonekana hujaifuatilia hii timu. Mbona inawachezaji wazuri wengi sana umewaacha wapi wachezaji kama akina Mitrovic, Ayoze, Diame, Gayle, Colback, Isaac Hayden etc... Ile ni timu nzuri inachemistry nzuri.
Kusema ni timu mbovu yenye wachezaji mizigo unakua hujatenda haki kabisa.
Diame ni mzigo mzito sana , mitrovic na Ayoze wanafunga kwa vile Shelvey anapiga mipira hadi 100 kwenye 18 kwa game 1 sasa hata ungekuwa butu kiasi gani ni lazima utafunga tu .
Hakika kocha mzuri ni muhimu sana kwenye mafanikio ya timu yoyote ya soka .
Huyu jamaa nimemvulia kofia ! Kiukweli hii timu ina wachezaji watatu tu wenye viwango vya kuridhisha , Goalkeeper wao , kiungo Shelvey na Muafrika mmoja winga aitwaye Atsu , wengine wote ni mizigo mizito .
Lakini kwa mbinu na mipango yake uwanjani timu hii inarudi tena EPL .
Mkuu jamaa aliikuta ipo hoi na bado imebakiza mechi chache nafikiri hazikuzidi 10. The team was doomed before him.Hiyo Newcastle ilishushwa na huyohuyo Benitez
Muulize na mechi ya mwisho kuaga EPL benitez alimfanyaje spurs!Unakumbuka ni mechi ngapi aliyoisimamia hii timu kabla haijashuka daraja ?
Vipi kuhusu Inter,Napoli na Madrid alipochemsha ?Mkuu jamaa aliikuta ipo hoi na bado imebakiza mechi chache nafikiri hazikuzidi 10. The team was doomed before him.
Rafael "Rafa" Benítez Maudes (Spanish pronunciation: [rafaˈel ˈrafa βeˈniteθ ˈmauðes];[2] born 16 April 1960) is a Spanish football coach currently managing Newcastle United. He is the only manager in history to have won the UEFA Europa League, UEFA Super Cup, UEFA Champions League and the FIFA Club World Cup.[3]Vipi kuhusu Inter,Napoli na Madrid alipochemsha ?
Mkuu angalia historia yake kafundisha timu gani na kapata mafanikio kiasi gani. Hiyo record yake hakuna kocha alieifikia hadi sasa. Angalia post #31Vipi kuhusu Inter,Napoli na Madrid alipochemsha ?
True .Nataka sana hawa warudi huwa nawapenda kuwaangalia jinsi wanavyojituma uwanjani na hasa wanapocheza na timu kubwa. Wakifanikiwa kurudi itabidi wafanye usajili wa nguvu at least wachezaji watano ili kuhakikisha hawashuki tena.
Epl vipi?Rafael "Rafa" Benítez Maudes (Spanish pronunciation: [rafaˈel ˈrafa βeˈniteθ ˈmauðes];[2] born 16 April 1960) is a Spanish football coach currently managing Newcastle United. He is the only manager in history to have won the UEFA Europa League, UEFA Super Cup, UEFA Champions League and the FIFA Club World Cup.[3]
Unamaanisha Championship ni ligi nyepesi au Championship ni ligi ngumu? Hebu fafanua vzur manake kama hujaeleweka hivi.Asikudanganye mtu, championship ni nyepesi mkuu, kwanza jua iko kati ya ligi kubwa tano zenye uwekezaji mkubwa ulaya.Pia kuna ushindani mkubwa kuliko sana kama ungejua nyepesi angalia timu kama Wigan athletic alichukua ubingwa wa fa alipoelekea yupo daraja LA pili sasa
Waambie mkuu naona hawajui vzuriAsikudanganye mtu , Championship ni ngumu kuliko maelezo .
Makocha bora wa Ulaya Ferguson,Lippi,Ancelloti,Guardiola,Mourinho,LVG,Rijkaard,Hitzfield hakuna aliyechukua ubingwa wa UropaRafael "Rafa" Benítez Maudes (Spanish pronunciation: [rafaˈel ˈrafa βeˈniteθ ˈmauðes];[2] born 16 April 1960) is a Spanish football coach currently managing Newcastle United. He is the only manager in history to have won the UEFA Europa League, UEFA Super Cup, UEFA Champions League and the FIFA Club World Cup.[3]
hajui mpira huyu achana naeUnakumbuka ni mechi ngapi aliyoisimamia hii timu kabla haijashuka daraja ?
Yaani hiyo comment yako ndio unanithibitishia hao wote hawajapata mafanikio ya kikombe hicho ingawa baadhi yao waliwahi shiriki kikombe hicho.Makocha bora wa Ulaya Ferguson,Lippi,Ancelloti,Guardiola,Mourinho,LVG,Rijkaard,Hitzfield hakuna aliyechukua ubingwa wa Uropa