Rafiki anamchukua demu wako

demu ameamua kuwa na rafiki yako ina maana hakuitaji mwache tafuta demu mwingine
 
Afanye maamuzi magumu tu, Either kuumaliza ugomvi na kuoata suluhu amasamehe demu wake maisha yaendelee ila kama demu atatoa sababu za msingi zlizopelekea yeyekufanya hivyo, ama ampige chini kama demu anaonokana hajatulia, yeye mwenyewe ndiye anayejua hali halisi ilivyo kama hakuna sababu za kumshawishi ambwage kama zipo samehe mwendelee ila kwa makubaliano maalum na tahadhari kubwa.
 

aachane naye kama anaweza.. Ila ajichunguze tabia zake. Huenda ana shida upande wa kumhandle mwanamke..
 
mkuu unataka ushauri upi zaidi ya kuachana kama ushahidi upo? siku hizi binadamu hatueleweki kama utabiri wa hali ya hewa.
 
Hivi teyar mtu kaamua kutembea na rafiki yako alafu na ww unahangaika ae,cha msingi ampotezee maisha yaendelee
 
Mwambie mshikaji alipize kwa kupiga demu wa mshikaji, hasa yule anayempenda. Kama jamaa yako hana uwezo wa kupiga demu wa mbaya wake, ujue huyo demu anayemlalamikia siyo size ya jamaa yako. Kwa ushauri tu mwambie atafute demu mwingine ambaye wataendana naye, asije jinyonga bure
 
Dah hata me nna mshkaji wangu anakamua dem wa mshkaj wake wanayefanya naye kazi kampuni moja ila vituo tofauti. Mi nlishamwambia huyo mshkaji wangu kuwa anachofanya siyo, akaniambia ataacha. Jamaa hajaacha na anaendelea kula mzigo na kum care demu. Ila dem alisema mpenz wake hajui kupenda kama jamaa anavopenda. Nadhani mwanaume ndo atakuwa chanzo
 

Kama hajui kupenda si amuache aende kwa huyo anaempenda? Tabia mbaya tu.
 

Mwambie ampige chini fasta asonge mbele na maisha! Huyo dem kimeo!
 
mbona hapo pepesi kbs unachapa mwendo dunia ya kufanywa kandambili kuendea chooni tu za nn mm nlikuwa na rln na mtu nikaja kujua anatumix na mchizi nikamcall mchizia kaja na demu nikamkabidhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…