rosita
JF-Expert Member
- Oct 18, 2013
- 509
- 469
Hello.
Natafuta marafiki wa kuchat nao na kushauriana maisha.Sichagui jinsia.Sifa awe mtu mzima umri kuanzia miaka 27 hadi 30 ,mwenye hekima na busara,mcha Mungu tutaendana sana na nitawapa kipaumbele.
Mimi nina miaka 25 nimeshamaliza chuo,kwa sasa ninafanya kazi na nina mtoto mmoja.Kuhusu imani I am born again christian.
Nasisitiza nahitaji marafiki sio mchumba na atakaye kuwa tayari aniPM.
Natafuta marafiki wa kuchat nao na kushauriana maisha.Sichagui jinsia.Sifa awe mtu mzima umri kuanzia miaka 27 hadi 30 ,mwenye hekima na busara,mcha Mungu tutaendana sana na nitawapa kipaumbele.
Mimi nina miaka 25 nimeshamaliza chuo,kwa sasa ninafanya kazi na nina mtoto mmoja.Kuhusu imani I am born again christian.
Nasisitiza nahitaji marafiki sio mchumba na atakaye kuwa tayari aniPM.