Umesisitiza kuwa unahtaj marafiki na sio mchumba. Lakini ulisema sifa awe mtu mzima; Sijui ni kwa nini huyo rafiki mtu mzima umri wake uishie miaka 30!!!?
Vizuri sana. Mimi nimezidi kidogo miaka 30, pia nimemaliza chuo na kwa sasa nafanya kazi ila sina mtoto. Sure! ni vema uchague age mate wenzako coz mnapitia same challenges na exposure. Ahsante na kwaheri!Naamini wako matured na malengo oriented na kuhusu limit ya umri pia ni muhimu coz nitakuwa huru sana na age mate wenzangu sababu tunapitia same challanges na exposure.
Ahsante