Rafiki Mnafiki jihadhari nae

Rafiki Mnafiki jihadhari nae

Kichwamoto

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2019
Posts
3,403
Reaction score
4,692
1.Chunga usilie chozi mbele yake

2. Akikutoa mtaroni ukiwa hospital atakusahau

3. Ukiwa huna pesa au hupati maendeleo kwake furaha

4. Hata mchumba, mpenzi, mkeo atamla au atamtaka.

5. Majungu atakusema sana

6. Chake chake Chako chenu

7. Ukipata wewe umebahatisha Yeye akipata anastahili.

Ushauri: Jipange jipende jijali ogopa unyonge wa kiuchumi, wekeza wekeza, hakikisha unapesa na unavitega uchumi. Chukua tahadhari Mungu yupo kaa karibu nae moyoni mwako.
 
1.Chunga usilie chozi mbele yake

2. Akikutoa mtaroni ukiwa hospital atakusahau

3. Ukiwa huna pesa au hupati maendeleo kwake furaha

4. Hata mchumba, mpenzi, mkeo atamla au atamtaka.

5. Majungu atakusema sana

6. Chake chake Chako chenu

7. Ukipata wewe umebahatisha Yeye akipata anastahili.

Ushauri: Jipange jipende jijali ogopa unyonge wa kiuchumi, wekeza wekeza, hakikisha unapesa na unavitega uchumi. Chukua tahadhari Mungu yupo kaa karibu nae moyoni mwako.
Mimi sina marafiki tena nina comrades na wapenzi wa kike tu
 
Back
Top Bottom