Msukuma wa dar
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 1,160
- 1,195
Asiwe mwny hasira za kalibu,mi napenda utani.Asiwe mcha Mungu Sana,aje atake niamie dini Yao.Ajzuie kuniomba ushaur,inapotokea kaznguana na boy wke..
Asiwe mjuaji kwny media,story za diamond na alikiba sizitaki.Asiwe Yuko addict na social media,Anaweza kuwa instagramu ILA rol mode wke wasiwe Wema Sepetu Mange na Le Mutuz
Atlist awe agemate wangu,awe Da Slum.Wivu wa mapenzi tumuachie Jux na V.Money.
Km yupo,aniPM namba yke..
Asiwe mjuaji kwny media,story za diamond na alikiba sizitaki.Asiwe Yuko addict na social media,Anaweza kuwa instagramu ILA rol mode wke wasiwe Wema Sepetu Mange na Le Mutuz
Atlist awe agemate wangu,awe Da Slum.Wivu wa mapenzi tumuachie Jux na V.Money.
Km yupo,aniPM namba yke..