mimi ni kijana wa Kitanzania,
natafuta binti mwenye kujieshimu ikiwezekana awe MWALIMU.
Umri - miaka 20 - 24,
Toka: popote pale ulimwenguni,
Rangi: Maji ya kunde au Mweusi,
Dini: Mkristo
Sifa nyingine,Ajue kupika, ajiheshimu, awe msafi, mwenye msimamo na viwango.
PM kwa aliye na sifa hizo.