Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mh! bas na mie nataka msichana asipungue 18 asizid 23
Nahitaji kuanzisha uhusiano wa kirafiki na mwanamke muislam umri usizidi 35 yrs,wagumba watapewa kipaumbele maana jamii inawaonea. Mengine negotiable, mawasilaiano ni kwa PM tu, na zote zitajibiwa. Week end njema.
Jamani someni bandiko -PM tuNahitaji kuanzisha uhusiano wa kirafiki na mwanamke muislam umri usizidi 35 yrs,wagumba watapewa kipaumbele maana jamii inawaonea. Mengine negotiable, mawasilaiano ni kwa PM tu, na zote zitajibiwa. Week end njema.
Ur welcome!Duuuh....kama naona no string attached! All za best.
daaaaaaah hapo sasa kazi.................mkuu funguka upate mtoto huyoWewe mbona hujafunguka kuhusu wasifu wako? Je una umri gani? Umeoa au bado? Je na wewe ni tasa (mgumba)? Nauliza hivi kwa sababu na mimi natafuta sana mwanaume tasa maana jamii inawaonea.
miaka 27 huna girlfriend unasubir nini sasa duniani?Mimi nina 27yrs natafta msichana awe girlfrnd wangu.Sibagui dini wala kabila wala rangi.Mimi ni mrefu wa wastan,rangi yangu mweusi,Alie tayar ani PM au anichek kwenye email hsudi2012@yahoo.com
keshapewa full details!daaaaaaah hapo sasa kazi.................mkuu funguka upate mtoto huyo
miaka 27 huna girlfriend unasubir nini sasa duniani?