nahitaji rafiki wa kike mwenye umri kuanzia miaka 30 - 40. Sifa yake awe mwaminifu, awe anaishi dar. Ambaye yuko tayari anipm kwa ajili ya kufahamiana zaidi.
Utanikopesha pesa?
nami nilikua nahitaji mtu wa kunilipia kodi ya nyumba..oooh asante maombi yangu yamejibiwa!!!!!
Nahitaji mtaji wa maandazi,Utanipa?
Nahitaji rafiki wa kike mwenye umri kuanzia miaka 30 - 40. Sifa yake awe mwaminifu, awe anaishi Dar. Ambaye yuko tayari anipm kwa ajili ya kufahamiana zaidi.
Sh ngapi?
Kwa kuanzia $3000 as we go on ukinijengea uaminifu naongeza kiasi cha kukopa
Guaranteed.
Kwa kuanzia $3000 as we go on ukinijengea uaminifu naongeza kiasi cha kukopa
nami nilikua nahitaji mtu wa kunilipia kodi ya nyumba..oooh asante maombi yangu yamejibiwa!!!!!