Rafiki wa kuchat

Rafiki wa kuchat

Kontelo

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
572
Reaction score
161
Habari wapendwa, mi ni kijana wa kiume na nina umri wa miaka 29 na ni mwajiriwa wa taaisisi isiyo ya kiserikali, shuuli zangu nafanyia Dar es salaam na Arusha. Sina mke, sina mchumba, na sina mtoto!
Natafuta rafiki wa KIKE wa kuchat nae, alie tayari aniPM nitampatia mawasiliano yangu! Asanteni sana.
 
Habari wapendwa, mi ni kijana wa kiume na nina umri wa miaka 29 na ni mwajiriwa wa taaisisi isiyo ya kiserikali, shuuli zangu nafanyia Dar es salaam na Arusha. Sina mke, sina mchumba, na sina mtoto!
Natafuta rafiki wa KIKE wa kuchat nae, alie tayari aniPM nitampatia mawasiliano yangu! Asanteni sana.

Kuwa muwaz kijana Sema unataka mchumba
 
Habari wapendwa, mi ni kijana wa kiume na nina umri wa miaka 29 na ni mwajiriwa wa taaisisi isiyo ya kiserikali, shuuli zangu nafanyia Dar es salaam na Arusha. Sina mke, sina mchumba, na sina mtoto!
Natafuta rafiki wa KIKE wa kuchat nae, alie tayari aniPM nitampatia mawasiliano yangu! Asanteni sana.
Miaka 29 huna mke, mtoto, wala mchumba??? Duh!!
 
Back
Top Bottom