Black_Panty
New Member
- Jul 18, 2023
- 2
- 4
Habr za muda, wataalam mlioko hap naomb ufafanuzi.
Kuna rafki yangu kila akienda kushughulikiwa swala la nyota, kutoa vifungo nuksi mikosi, kutoa jini mahaba ila hafanikishi, au akifunguka nkidogo tu baasi. Lakin akielekeza marafiki zake sehemu yeyote amekwenda wao wanafanikisha na wanapata wepesi kwa mambo yao.
Tiba amefanya Kwa wataalam tofauti wa vitabu, mizimu, kienyeji(Asili), tunguli, ata wa majini. Kaogeshwa Njia panda, Kwa kichuguu, kupigwa nyungu, Yaani kila mtu na mbinu yake lakini hapati wepesi inavofaa. Tambiko pia amefanya zaidi ya mara tatu lakini hamna.
Kaniambia nimpostie sabab haelewi mbona hapati wepesi kwenye Riziki zake....nyie wataalam ebu mtoeni maoni tujue tatizo lipo wapi. Mbona tiba za aina zote zinagoma kwake na Kwa wengine zinatiki🤔
Kuna rafki yangu kila akienda kushughulikiwa swala la nyota, kutoa vifungo nuksi mikosi, kutoa jini mahaba ila hafanikishi, au akifunguka nkidogo tu baasi. Lakin akielekeza marafiki zake sehemu yeyote amekwenda wao wanafanikisha na wanapata wepesi kwa mambo yao.
Tiba amefanya Kwa wataalam tofauti wa vitabu, mizimu, kienyeji(Asili), tunguli, ata wa majini. Kaogeshwa Njia panda, Kwa kichuguu, kupigwa nyungu, Yaani kila mtu na mbinu yake lakini hapati wepesi inavofaa. Tambiko pia amefanya zaidi ya mara tatu lakini hamna.
Kaniambia nimpostie sabab haelewi mbona hapati wepesi kwenye Riziki zake....nyie wataalam ebu mtoeni maoni tujue tatizo lipo wapi. Mbona tiba za aina zote zinagoma kwake na Kwa wengine zinatiki🤔