Rafiki yangu anahangaika na sugu za mkononi

Rafiki yangu anahangaika na sugu za mkononi

Trial balance

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2020
Posts
202
Reaction score
160
Rafiki angu alizaliwa ivyo kama unavyomuona je kuna lotion yoyote ambayo inaweza kumsaidia au ni genetics tu?

IMG_20200622_152254_587.jpg
 
Rafiki angu alizaliwa ivyo kama unavyomuona je kuna lotion yoyote ambayo inaweza kumsaidia au ni genetics tu?

View attachment 1486053
Anafanya shughuli gani, hasa zinazoshirikisha mikono au viganja.
Mfanya mazoezi/Bondia hasa asietumia gloves huwa na alama kama hizo, kwa wanawake wanaojichubua huwa nazo pia. Hujui historia ya rafiki yako.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Anafanya shughuli gani, hasa zinazoshirikisha mikono au viganja.
Mfanya mazoezi/Bondia hasa asietumia gloves huwa na alama kama hizo, kwa wanawake wanaojichubua huwa nazo pia. Hujui historia ya rafiki yako.
Hajawahi jichubua! Hafany kazi ngumu kazaliwa ivyo ivyo ni vidole tu vipo ivyo sehem nyingine ni mlaini tu.
 
Sioni sugu hapo,hivi unazijua sugu wewe sema rafiki yangu ana vidole vyeusi kama kaniki tutakuelewa na sio sugu
 
Hatumii mkorogo uyo mikono ya kawaida kabisa.
Sugu zinatokea kama unafanya kazi za maji maji sana (Kuosha vyombo,kufua etc)
Sugu ni jambo la kawaida mpenzi[emoji847] wengine tukijicream zinawaka kweli kweli[emoji2] ila unasomga mbele kama injili.... Dawa yake kutofanya hizo kazi halafu paka mafuta ya nazi
 
Back
Top Bottom