Dormant Account JF-Expert Member Joined Apr 5, 2022 Posts 11,308 Reaction score 32,757 Feb 6, 2023 #2 Yupo wapi
Faana JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 38,657 Reaction score 44,759 Feb 6, 2023 #3 Mparee2 said: Habari wadau Rafiki yangu anahitaji Arm rest ya gari kama hiyo nimeweka sample ila iwe rangi Grey Click to expand... Kama uko Dar nenda hapo Mabibo Sokoni ingia ndani wanakouza spare huko hutakosa
Mparee2 said: Habari wadau Rafiki yangu anahitaji Arm rest ya gari kama hiyo nimeweka sample ila iwe rangi Grey Click to expand... Kama uko Dar nenda hapo Mabibo Sokoni ingia ndani wanakouza spare huko hutakosa
Faana JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 38,657 Reaction score 44,759 Feb 6, 2023 #4 Mparee2 said: Asante kwa ushauri ila Yupo Moshi Click to expand... Na muuzaji anaitwa Malya kwahiyo mbuzi anakwenda kufia kwa muuza supu
Mparee2 said: Asante kwa ushauri ila Yupo Moshi Click to expand... Na muuzaji anaitwa Malya kwahiyo mbuzi anakwenda kufia kwa muuza supu
Faana JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 38,657 Reaction score 44,759 Feb 6, 2023 #5 Mparee2 said: hahaha poa, unaweza kuwa na mawasiliano naye uni Pm namba yake? Click to expand... Namba sina kiongozi, ila ukiingia tu pale uliza jina hilo yuko popular sana labda awe amehama, hata hivyo watakuambia alipo
Mparee2 said: hahaha poa, unaweza kuwa na mawasiliano naye uni Pm namba yake? Click to expand... Namba sina kiongozi, ila ukiingia tu pale uliza jina hilo yuko popular sana labda awe amehama, hata hivyo watakuambia alipo