HIV kapima?Habari madokta wa jamii.leo naomba kusaidia jambo Nina rafiki angu anaumwa sana fungus.
Imeanza miaka mitatu iliyopita,ulianzia kwenye korodani na Sasa Iko kwenye njia ya mkojo. Ametumia dawa nyingi sana na mbaya zaidi madaktari wamekuwa wengi na wamempa dawa nyingi na masindano ya kutosha kiufupi tatizo limekuwa chronic.
Anaomba msaa wa nn Cha kufanya kwani kwenye korodani bado zina msumbua na ndani ya uume zinamsumbua sana na muda mwingine hata uume wake unakuwa mwekundu.
Dawa alizotumia ninzokumbuka ni karibia zote zinazojulikana.ombi afanye nn au kama Kuna dawa ambayo ni ya kuaminika zaidi msaada plz
Bei gan hiz bossKama Ni izi fangas za kawaida za joto la Dar es salaam..
Best option
Choma/tupa/abandon nguo za ndani unazo zitumia then Replace with new one........
Pia taulo badilisha nunua jipya hakikisha private part zinakua katika good condition
Mimi Kuna hii sabuni SHOWER TO SHOWER GELL huniweka very smooth ngozi na mwiliView attachment 2942122View attachment 2942123
ThanksAnyway abadilishe taulo, achukue lile la pamba linalonyonya maji vizuri, awe analifua na kulikausha vizuri juani,
Last
Kama yupo dar mwambie awe anaenda beach na kujitahid kuogelea japo nusu saa tu, akifanya hivyo mfululizo itakua vizuri Zaid
Mungu akimjaalia kupona mwambie asinisahau hata buku tu mi napokea
Yuko poaHIV kapima?
Dr Mambo, kwa kupitia michango yake humu jf ni wazi kabisa pasipo na shaka yyte jamaa ni Daktar.una uhakika hawa ni madaktari 😁
Kabisa bila shaka ni yeye.pole sana. ni rafiki kwelo au we mwenyewe?
Bas ana usugu wa dawa, means pathogens wameshakuwa sugu na dawa anazotumiaYuko poa
Meza cetrizineNamimi ninayo famgasi sugu, japo haikaingia ndani lakini pumb* zinakuwa nyekundu
So solution ni Nini bossBas ana usugu wa dawa, means pathogens wameshakuwa sugu na dawa anazotumia
Cetrizine fungus bossMeza cetrizine
HIV hakuna bossAmepime HIV kama Hana nitamwelekeza simple method
Mkuu,Bei gan hiz boss