Pre GE2025 Rafiki yangu Franco Mkakaranka naye anataka kugombea udiwani. Huyu bwana ni tajiri wa mbango na ubishi

Pre GE2025 Rafiki yangu Franco Mkakaranka naye anataka kugombea udiwani. Huyu bwana ni tajiri wa mbango na ubishi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkunazi Njiwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2023
Posts
8,538
Reaction score
7,559
Kule Kinondoni kulitokea ubishi mkuu wa kutunishiana misuli kati ya Meya kamarada mh.Songoro Mnyonge(diwani kata ya Kinondoni kama sikosei) na aliyekuwa DED wa Kinondoni mh.Sipora Pangani.

Zogo lile lilikuwa kubwa huku kila mtu akitumia ubabe wa "KITI" chake.

Nimekumbushia kisa hiki ili tupate "mawaidha" kuwa MOTO unaowaka katika MABARAZA YA MADIWANI NI MKUBWA kuliko huko BUNGENI.

Ukiacha ile kauli iliyotolewa bungeni ya "TUMBIRI" "iliyotrend" sana kati ya Prof.Muhongo na mkurugenzi wa sasa wa PPP kamarada mtunduizi msukuma wa Kigoma kamishna David Kafulila,baraza la madiwani linabaki kuwa "Kivu ya kaskazini" ya maneno. Nimeambiwa na madiwani wengi kuwa humo KAULI ZA KISHUJAA ndio "mwake".

Humo kedi ,zodo,masimango,kauli chafu ,kupotezeana malengo na muda kwa siasa za majitaka(tarnishing of image) ndiko "epicentre".

Ni kwanini hali iko hivyo?

Sisemi kwa ubaya ila wengi wasio na elimu kubwa utawakuta ndani yake zaidi ya BUNGENI.

Katiba yetu ya JMT inaruhusu "kujua kusoma na kuandika" kama MKONGOJO wa KUCHAGUA NA KUCHAGULIWA ,basi wale wachaguliwa wengi wa kutetewa na KATIBA utawakuta humo BARAZANI [emoji1787][emoji1787]

Nimewafanyia kampeni wagombea udiwani wengi....najua ninachokisema....kati yao nadiriki kusema ni mmoja tu ambaye alikuwa na kiwango cha elimu ya UZAMILI na sasa ni MKUBWA huko TRA....[emoji1787]

Huyu BWANA nilikutana naye nikiwa kijana mdogo sana ila mwenye sauti na ushawishi.....tuliingia mzigoni na akashinda UDIWANI.

Kinyume na hayo ,wengi ni hawa wenzangu wenye MBANGO kwa kukosa UFAHAMU mkubwa wa mambo.

Ona huyu rafiki yangu...FRANCO...elimu yake ni ile ya "kutambuliwa na katiba" [emoji1787]

Ila Mkulungwa ana FEDHA...za kujitofautisha nasi wasomi KAPUKU.

Anaijua mitaa vyema kwani alianza kuhaso sisi tukiwa katika zipu za baba zetu, biashara za haramu zilikuwa zake....halali...kati na kati...leo ana "dinari" maa shaa Allah.

Amewashika wajumbe....na anajua SIASA CHAFU....amewashika CCM kata.....hawapumui kwani majuzi amenieleza jinsi alivyomlipia mmojawao* DENI lake la milioni 6 [emoji1787]

Madambwe ya bodaboda na BAJAJI anatajwa yeye tu....

Vijiwe nongwa vya kahawa kila uchao anavizungukia na kuacha buku 5 kila kijiwe..navijua 6 alivyoviweka mkononi. Vijana wa "PULL TABLE" kila zilipo hizo meza za kucheza kwa kamari.

Misikiti 4 anawasaidia maimamu shida zao ndogondogo. Makanisa madogo ya kilokole mwamba yupooo [emoji1787]

Si misiba ,si Maulid ,si vipaimara ,si visherehe vya "bebi shawa" vya akina Rukia na Mwajuma micharuko....yote haya kisa UDIWANI TU [emoji1787][emoji1787]

Tabia yake :

Kwa nguvu hizo za ushawishi na mkwanja alionao jamaa ANAONGEA SANA...ana MBANGO na mbishi....alichokosa tu ni nidhamu ile inayopatikana tu kwa KUSUGUA SANA MAKALIO katika viti na madesk ya madarasa [emoji1787]
---_---------------------------------

FIKIRI

Mtu afananaye na kaka mkubwa FRANCO ashinde UDIWANI na awe mjumbe wa kikao cha HALMASHAURI uso kwa uso na DC hata kama DC huyo ni mwerevu....ni rahisi sana DC kukasirishwa na maneno makali ya hawa madiwani sampuli ya huyu swahiba yangu....

DC huyo anahitajika awe na "GUTS" ....udume na ujike kweli wa kutawala HISIA ZAKE(emotions) kwani "akitekenywa PUDENDAL NERVE" "atasimamisha" MISHIPA ya shingo na kutoa MACHO na mwishowe KUROPOKA hata yasiyokuwepo....

Kwa kujitetea huku akiwa na GHADHABU yanaweza KUMPONYOKA maneno makali yenye UKAKASI hata YASIYOPATA KUTOKEA kwa UHALISIA wake....

Ndio maana tunazidi kukumbushana "EMOTIONAL INTELLIGENCE". Mwalimu wangu Prof.Masalakulangwa alishawahi kuniambia kuwa "NEVER MAKE DECISION WHILE YOU'RE ANGRY."

Binafsi nasubiri kumuona jamaa yangu atakavyomuangusha DIWANI aliyepo kwani wote wana "elimu" egemeo la katiba *[emoji1787]

Wote wana MBANGO....kazi kwake huyo DC wa wilaya yetu [emoji1787][emoji1787]

Allah awalinde usiku huu ,amen[emoji7]

Alamsiki binnuur [emoji2956]

#Nchi Kwanza
 
Songoro ni diwani wa kata ya Mwananyamala na sio Hananasifu.
Na aliyekuwa na ugomvi nae ni DED wa kinondoni wakati huo mwanamama SIPORA ambaye baadae akahamishiwa Tanga.
 
Kule Kinondoni kulitokea ubishi mkuu wa kutunishiana misuli kati ya Meya kamarada mh.Songoro Mnyonge(diwani kata ya Hananasif kama sikosei) na aliyekuwa DC wa Kinondoni mama yetu komredi Mary Chatanda.

Zogo lile lilikuwa kubwa huku kila mtu akitumia ubabe wa "KITI" chake.

Nimekumbushia kisa hiki ili tupate "mawaidha" kuwa MOTO unaowaka katika MABARAZA YA MADIWANI NI MKUBWA kuliko huko BUNGENI.

Ukiacha ile kauli iliyotolewa bungeni ya "TUMBIRI" "iliyotrend" sana kati ya Prof.Muhongo na mkurugenzi wa sasa wa PPP kamarada mtunduizi msukuma wa Kigoma kamishna David Kafulila,baraza la madiwani linabaki kuwa "Kivu ya kaskazini" ya maneno. Nimeambiwa na madiwani wengi kuwa humo KAULI ZA KISHUJAA ndio "mwake".

Humo kedi ,zodo,masimango,kauli chafu ,kupotezeana malengo na muda kwa siasa za majitaka(tarnishing of image) ndiko "epicentre".

Ni kwanini hali iko hivyo?

Sisemi kwa ubaya ila wengi wasio na elimu kubwa utawakuta ndani yake zaidi ya BUNGENI.

Katiba yetu ya JMT inaruhusu "kujua kusoma na kuandika" kama MKONGOJO wa KUCHAGUA NA KUCHAGULIWA ,basi wale wachaguliwa wengi wa kutetewa na KATIBA utawakuta humo BARAZANI [emoji1787][emoji1787]

Nimewafanyia kampeni wagombea udiwani wengi....najua ninachokisema....kati yao nadiriki kusema ni mmoja tu ambaye alikuwa na kiwango cha elimu ya UZAMILI na sasa ni MKUBWA huko TRA....[emoji1787]

Huyu BWANA nilikutana naye nikiwa kijana mdogo sana ila mwenye sauti na ushawishi.....tuliingia mzigoni na akashinda UDIWANI.

Kinyume na hayo ,wengi ni hawa wenzangu wenye MBANGO kwa kukosa UFAHAMU mkubwa wa mambo.

Ona huyu rafiki yangu...FRANCO...elimu yake ni ile ya "kutambuliwa na katiba" [emoji1787]

Ila Mkulungwa ana FEDHA...za kujitofautisha nasi wasomi KAPUKU.

Anaijua mitaa vyema kwani alianza kuhaso sisi tukiwa katika zipu za baba zetu, biashara za haramu zilikuwa zake....halali...kati na kati...leo ana "dinari" maa shaa Allah.

Amewashika wajumbe....na anajua SIASA CHAFU....amewashika CCM kata.....hawapumui kwani majuzi amenieleza jinsi alivyomlipia mmojawao* DENI lake la milioni 6 [emoji1787]

Madambwe ya bodaboda na BAJAJI anatajwa yeye tu....

Vijiwe nongwa vya kahawa kila uchao anavizungukia na kuacha buku 5 kila kijiwe..navijua 6 alivyoviweka mkononi. Vijana wa "PULL TABLE" kila zilipo hizo meza za kucheza kwa kamari.

Misikiti 4 anawasaidia maimamu shida zao ndogondogo. Makanisa madogo ya kilokole mwamba yupooo [emoji1787]

Si misiba ,si Maulid ,si vipaimara ,si visherehe vya "bebi shawa" vya akina Rukia na Mwajuma micharuko....yote haya kisa UDIWANI TU [emoji1787][emoji1787]

Tabia yake :

Kwa nguvu hizo za ushawishi na mkwanja alionao jamaa ANAONGEA SANA...ana MBANGO na mbishi....alichokosa tu ni nidhamu ile inayopatikana tu kwa KUSUGUA SANA MAKALIO katika viti na madesk ya madarasa [emoji1787]
---_---------------------------------

FIKIRI

Mtu afananaye na kaka mkubwa FRANCO ashinde UDIWANI na awe mjumbe wa kikao cha HALMASHAURI uso kwa uso na DC hata kama DC huyo ni mwerevu....ni rahisi sana DC kukasirishwa na maneno makali ya hawa madiwani sampuli ya huyu swahiba yangu....

DC huyo anahitajika awe na "GUTS" ....udume na ujike kweli wa kutawala HISIA ZAKE(emotions) kwani "akitekenywa PUDENDAL NERVE" "atasimamisha" MISHIPA ya shingo na kutoa MACHO na mwishowe KUROPOKA hata yasiyokuwepo....

Kwa kujitetea huku akiwa na GHADHABU yanaweza KUMPONYOKA maneno makali yenye UKAKASI hata YASIYOPATA KUTOKEA kwa UHALISIA wake....

Ndio maana tunazidi kukumbushana "EMOTIONAL INTELLIGENCE". Mwalimu wangu Prof.Masalakulangwa alishawahi kuniambia kuwa "NEVER MAKE DECISION WHILE YOU'RE ANGRY."

Binafsi nasubiri kumuona jamaa yangu atakavyomuangusha DIWANI aliyepo kwani wote wana "elimu" egemeo la katiba *[emoji1787]

Wote wana MBANGO....kazi kwake huyo DC wa wilaya yetu [emoji1787][emoji1787]

Allah awalinde usiku huu ,amen[emoji7]

Alamsiki binnuur [emoji2956]

#Nchi Kwanza
Nimeishia kusoma hapa nilipokutana na haya maneno,"Katiba yetu ya JMT inaruhusu "kujua kusoma na kuandika" kama MKONGOJO wa KUCHAGUA NA KUCHAGULIWA".

Ni wapi kwenye katiba ya JMT inapotaja mtu anayechagua lazima ajue kusoma na kuandika!!??
 
Nimeishia kusoma hapa nilipokutana na haya maneno,"Katiba yetu ya JMT inaruhusu "kujua kusoma na kuandika" kama MKONGOJO wa KUCHAGUA NA KUCHAGULIWA".

Ni wapi kwenye katiba ya JMT inapotaja mtu anayechagua lazima ajue kusoma na kuandika!!??
Mkuu wangu soma makala kwa hisia* za moyo na meditations*....
 
Bora huko mjini wanatunishiana misuli kwa hela na maneno .

Sisi huku kijijini nilijaribu kuwatikisa wazee kidogo kijiweni kuwa nautaka udiwani, mwenzenu nikapoteza nguvu za kudinya wiki mzima ,mpaka diwani alipokuja kuniambia uwa hajaribiwi 🤔

Basi rasmi nikajipa upambe kwake
 
Bora huko mjini wanatunishiana misuli kwa hela na maneno .

Sisi huku kijijini nilijaribu kuwatikisa wazee kidogo kijiweni kuwa nautaka udiwani, mwenzenu nikapoteza nguvu za kudinya wiki mzima ,mpaka diwani alipokuja kuniambia uwa hajaribiwi [emoji848]

Basi rasmi nikajipa upambe kwake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kazi kweli ndugu yangu....

Uwe "fiti" kinoma noma...

#Nchi Kwanza[emoji7]
 
Back
Top Bottom