Rafiki yangu akiwa ktk starehe ya dunia waswahili wanasema kukata gogo hamadi ukuta wa choo passport size ukashuka na kumkandamiza rafiki yangu huko mbagala ukuta ulivyo shuka na choo kikashuka nacho ni athari za mafuriko ya jiji. Nasema kwamba alikuwa anakata gogo au kimba kwa sababu wkt wasamalia wema wanamwopoa suruali wameikuta magotini na amefariki tunafanya taratibu za kuzika leo.
Huyo si rafiki yako! Lad jamaa tu! Rafiki wa kweli afe then umsarambue na vitu kama Kimba, gogo!. Ok above all R.I.P
poleni
kufa kwa kudondokewa na ukuta au kutumbukia chooni kwa kweli ni 'kifo kisichopaswa kutokea'
kwa miaka ya siku hizi.....
vyoo vya shimo sio lazima vijengwe juu ya shimo
mnaweza kabisa weka shimo pembeni
mkapitisha mabomba hadi kwenye choo na wala isigharimu pesa..
gharama karibu ni ile ile....
pole sana mpwa....ndio maisha.....
poleni
kufa kwa kudondokewa na ukuta au kutumbukia chooni kwa kweli ni 'kifo kisichopaswa kutokea'
kwa miaka ya siku hizi.....
vyoo vya shimo sio lazima vijengwe juu ya shimo
mnaweza kabisa weka shimo pembeni
mkapitisha mabomba hadi kwenye choo na wala isigharimu pesa..
gharama karibu ni ile ile....
Huyo si rafiki yako! Lad jamaa tu! Rafiki wa kweli afe then umsarambue na vitu kama Kimba, gogo!. Ok above all R.I.P
preta mbona hunijibu?
Rafiki yangu akiwa ktk starehe ya dunia waswahili wanasema kukata gogo hamadi ukuta wa choo passport size ukashuka na kumkandamiza rafiki yangu huko mbagala ukuta ulivyo shuka na choo kikashuka nacho ni athari za mafuriko ya jiji. Nasema kwamba alikuwa anakata gogo au kimba kwa sababu wkt wasamalia wema wanamwopoa suruali wameikuta magotini na amefariki tunafanya taratibu za kuzika leo.