Rafiki yangu kadondokewa na ukuta chooni

mungu ametoa na pia ametwa jina lake liabudiwe
poleni kwa mcba
 

lol...astaghafirullah,...umenichekesha ilhali ni ya kusikitisha haya bana...aaaahhh
kifo cha furaha? hapana, ni ahadi yake tu hiyo...mw'mungu amrehemu. AMEN
 
Dah! Poleni sana. Ila fidel na wewe una visa kama vya kina marytna na nazjaz.
 

lol...astaghafirullah,...umenichekesha ilhali ni ya kusikitisha haya bana...aaaahhh
kifo cha furaha? hapana, ni ahadi yake tu hiyo...mw'mungu amrehemu. AMEN

Wanasema ati nae siku ilifika
 
Mh kweli hicho si kifo kizuri, na kinaskitisha japokuwa unakifanya kisound funny, Pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…