Pamoja na wengine humu kukesha tukipiga kelele sidhani kama tutaambulia kitu, mwisho wa mwisho tumempeleka jamaa ikulu sijui kama atamkumbuka MS hata ukatibu kata achana na ukuu wa wilaya. Wasipokukumbuka rafiki yangu MS tuwasiliane wote ni wa TZ kuna fisadi mmoja rafiki wa dingi kafanikiwa na tayari kaniajiri kama meneja kwenye Hotel yake njoo nikupe tafu bwa mdogo achana nao hawana maana hata kidogo. Hapo ndipo utie akili kelele upige wewe kula tule sisi LOL!
Ukweli ndio huo ila hauko peke yako mko wengi nyie mnapiga vuvuzela wanaofaidi wengine kabisa.Pumba tu ..umeanza kuchanganyikiwa we bwa mdogo
Ndiyo maana nasema kupiga kampeni tupige sisi kula wale wengine wapi na wapi, hata MS amekuwa akikesha JF lakini leo baada ya Kikwete kuapishwa wao wamejimwaga kwenye sherehe za kujipongeza yeye anakula vumbi la Buguruni akili au matope.Bye bye tukutane tena 2015
Wewe endelea kudai eti unachotaka amani wakati wenzenu wanatumia migongo yenu, by the way mbona sikukuona kwenye sherehe za kuapishwa mimi nilikuwa jukwaa kuu wewe ulikuwa wapi au kwenye jukwaa la mzunguko nini.ms ameata amani na utulivu. hms ahkuwa mikoa ya arusha, mwanza na Moshi. alikuwa mikoa tuluvu iliomchaua jk kwa kishindo. ms anategemea mani na sio fedha