Rafiki yangu na dada yangu wananichanganya.

Maliboro

Member
Joined
Jul 28, 2012
Posts
20
Reaction score
2
Jaman nina rafiki yangu ambaye tumekuwa marafiki kwa muda mrefu sasa ila namjua ni tapeli na malaya sana na ameoa wake zaidi ya wawili bila ndoa na kuachana nao sasa cha kusikitisha zaidi amemrubuni dada yangu na anataka kumwoa na tayari ameshampa ujauzito.Nimeshindwa nimsaidieje dada yangu huyo.Nisaidieni mawazo.
 
Kubali yaishe tu! Ngoma kishaicheza huyo, cha msingi ni kumwombea kwa mungu amuepushe na mabaya yanayoweza kutokea mbeleni.
 
Kwani tangu wanaanza uhusiano hadi kupeana mimba wewe ulikua hujui??its too late!
 
Zungumza na dada yako, pia mpe ushahidi wa maneno yako..... Ila mwamuzi wa mwisho ni dada yako
 
Kama huyo dada yako ulishamwambia kuhusu tabia za huyo kidume na akakataa we ushanawa mikono.
Waombee maisha mema tu,hakuna njia nyingine akimgeuka we ushanawa.
 
mmmh, unachotaka fanya ni sawa na kuvaa bullet proof wakati risasi ishakupata.

Kila mtu ana maisha yake huwezi mpangia, ndo keshamchagua huyo.

Mweleze ukweli wa tabia za rafiki yako achague mwenyewe atakacho.
 
Daa hapa kazi ni kubwa mno ni kama Kujitahidi kuficha mavuz wakati unamuonesha uchi mtu.Hapo ni kumtaarifu dada yako kuhusu huyo jamaa.
 
Is not too late my dear tell you sister,damu nzito bwana mimba sio kifungocha kujifungia kwa mwanaume.we mweleze ili akae ana tahadhari kichwani kwake kwamba jamaa saa yoyote atapotea kumbuka akiondoka bado dadako atabaki kuwa nduguyo na hata utawajibika kumsaidia kama una utu.itamsaidia kukaa na jamaa kimachale au kumwacha.tell her
 
don waste ur tym wit women mind, they ar olwayz the sem so let them be blind 4eva coz hata ungemwambia bado sidhani km angekuelewa
 
Maliboro


Today 17:32
#1

Junior Member Array


Join Date : 28th July 2012
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0

naona unahasira za muda mrefu, hivi huyo ni rafiki au shemeji? maana post ya kwanza tu malalamiko, Du mweleze huyo Dada yako kapotea kumkubalia rafiki yako, na wewe kambandulie rafiki yako huyohuyo km ataona raha akishtuka mfukuzie mbali
 

Mkuu hii ndoa ya bila ya ndoa ni ngeni hapa Tanzania? maana ndio naiskia leo.
 
don waste ur tym wit women mind, they ar olwayz the sem so let them be blind 4eva coz hata ungemwambia bado sidhani km angekuelewa

Eti eeeh....women a blind nan kasema?men je...deaf o?
 
Ameoa wake zaidi ya wawili bila ndoa ndo nn?!! Ah wewe kama kaka una uamuzi wa kufanya coz ujue huyo jamaa atamchezea tu sista afu amuumize na kumharibia maisha lakini ye huyo sista alikua hajui tabia za huyu jamaa mpaka akakubali kupewa mimba? Wanawake lkn sometimes wananiachaga hoi na decision zao
 
kwa vyovyote vile mna tabia zinazofanana

na ndo maana mkawa marafiki

sasa mungu ametafuta namna ya kukurudishia yote uliyowafanyia wengine.....

what goes around....comes around
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…