Jaman nina rafiki yangu ambaye tumekuwa marafiki kwa muda mrefu sasa ila namjua ni tapeli na malaya sana na ameoa wake zaidi ya wawili bila ndoa na kuachana nao sasa cha kusikitisha zaidi amemrubuni dada yangu na anataka kumwoa na tayari ameshampa ujauzito.Nimeshindwa nimsaidieje dada yangu huyo.Nisaidieni mawazo.
don waste ur tym wit women mind, they ar olwayz the sem so let them be blind 4eva coz hata ungemwambia bado sidhani km angekuelewa