Rafiki yangu Uume wake unakuwa kama umebabuka

Rafiki yangu Uume wake unakuwa kama umebabuka

kibovu

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2017
Posts
702
Reaction score
759
Ndugu wana jamvi poleni na mihangaiko. Jamaa yangu ana tatizo limemuanza yapata mwezi sasa kichwa cha uume kinakuwa kimebabuka yaani kinakuwa na vimelea vya kama kidonda kinachopona yaani kinakuwa tuvinyama tulitobabuka

Unaweza kutuvuta na kututoa ukipaka maji inakaa sawa baada ya muda vinarudi mpauko kama mwanzo.

Ameenda hospitali amepewa tube fulani kama zile dawa za kutibu fangasi lakini ametumia ya pasa mwezi sasa lakini mabadiliko ni kidogo sana.

Naomba mnisaidie dawa jamaa yangu aweze kupona.



Asanteni
 
Weka pic tuone mkuu tunaweza kukusaidia ila kwamaneno tutafanya bila uhakika.
 
N
Sio kila mada inaletwa MMU jamani

Hii mada ni ya kule kwa madaktari...unavyoleta huku MMU utapata majibu ambayo mengi hayatakuwa na msaada
Nimekuelewa vzr
 
Wahi hospital fala weeh kaswende kitakatika ukicheza..! STDs hizo.
 
Mkuu inamaana rafiki yako aliuonesha kabisa??nakuanza kuvibabua hivyo vinyama??
 
Sema ukweli ni kichwa cha uume wa rafiki yako au ww mwenyewe? Unapata wapi muda wa kumfanyia uchunguzi mara kwa mara?
 
Back
Top Bottom