Rafiki yangu wa karibu anatakwa kimapenzi na mpwa wake

Asante sana mkuu kwa kuchukua muda wako kufupisha hii habari. Asante sana [emoji1545]
 
Ujinga mtupu. Mpwa wako anafanya ujinga na wewe unakwenda kuomba kuhusu huo ushauri. Uliowaomba ushauri nao kwa ujinga wao wanaleta ujinga JF. Tubadilike.
 
Hapo kwenye "binti Ni bikra Ila alishaolewa"
Umeniacha solemba chief[emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bikra aliyewahi kuolewa aloooo!!!....Hivi mnawezaji kuandika ujinga mrefu namna hii ?Kweli vipaji vipo tofauti tofauti
 
Sijasoma yote ila kwa ufupi nafikiri hadithi inahusu watu waliofanya ngono na dada yao ambaye ni bikra lakini alikimbiwa na mume. Watu hawa ni wacheza forex, mama yao alijua pia kuwa wanangonoka na dada yao.
MWISHO
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]dah!
 
😂😂😂 asante mungu , nilivyoanza tu nikasema ngoja ni scroll mbaka chini nione kama ndefu, he he he he aisee nisingeweza kuisoma mbaka mwisho aisee .
 
We dogo thread yote hii unamuandikia mshikaji asichakate???? No wonder siku hizi kuna vishoga vingi mitaani....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…