Rage ajengewe sanamu lake

Rage ajengewe sanamu lake

Munch wa annabelletz47

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2019
Posts
1,885
Reaction score
3,227
Katika hali ya kustaajabisha timu ya simba sc imewafanyia vipimo vya afya wachezaji wake wapya 9 baada ya kuingia nao mikataba kabisa na kuanza pre season huku nchini uturuki

MASWALI
1. Wametumia sayansi au mbinu gani mpya duniani ya kusajili mchezaji akacheza hadi mechi na baada ya wiki kadhaa ndo wampime afya?

2. Je kuna timu nyingne hapa dunia ishawahi fanya hivi au wao ndo wagunduzi?

3. Je hili jambo ni nzuri waendelee nalo au wamepuyanga?
4. Je viongoz wasimba wanawadharau mashabiki wao au lah?

5. Viongoz ni mbumbumbu au mashabiki ni mbumbumbu au wote ni mbumbumbu

6. Je viongoz wanahisi wanaongoza kundi la ng'ombe kwahyo hawajali kitu au wanafanya kusudi?

Kwenye ujezi wa sanamu mm ntajitolea saidia fundi

1690901700938.png
 
Nadhani kama wamefanya vipimo baada ya kila kitu, basi vipimo hivo ni Kwa ajili ya kuhakiki afya Tena Kwa lengo la kijirdhsga zaidi juu ya Afya ya mchezaji.

Kama nikweli lakini mana nao ni wazuri kucheza Inje ya UWANJA.
 
Katika hali ya kustaajabisha timu ya simba sc imewafanyia vipimo vya afya wachezaji wake wapya 9 baada ya kuingia nao mikataba kabisa na kuanza pre season huku nchini uturuki

MASWALI
1. Wametumia sayansi au mbinu gani mpya duniani ya kusajili mchezaji akacheza hadi mechi na baada ya wiki kadhaa ndo wampime afya?

2. Je kuna timu nyingne hapa dunia ishawahi fanya hivi au wao ndo wagunduzi?

3. Je hili jambo ni nzuri waendelee nalo au wamepuyanga?
4. Je viongoz wasimba wanawadharau mashabiki wao au lah?

5. Viongoz ni mbumbumbu au mashabiki ni mbumbumbu au wote ni mbumbumbu

6. Je viongoz wanahisi wanaongoza kundi la ng'ombe kwahyo hawajali kitu au wanafanya kusudi?

Kwenye ujezi wa sanamu mm ntajitolea saidia fundi

View attachment 2705265
Huyo Rage ana mademu wengi sana huko Yanga hamuishi kumtaja taja kwa jinsi anavyowapelekea moto,bado kuwatieni mimba tu mumzalie watoto
 
Katika hali ya kustaajabisha timu ya simba sc imewafanyia vipimo vya afya wachezaji wake wapya 9 baada ya kuingia nao mikataba kabisa na kuanza pre season huku nchini uturuki
Afadhali hata Simba wamewafanyia wakati huu. Yanga hawajawafanyia vipimo kabisa akina skudu
 
Back
Top Bottom