brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
NILIIKUTA SIMBA INANUKA MAVI NA MADIRISHA YA MAGUNIA Mwenyekiti
wa Simba Ismail Aden Rage amesema ataiacha Simba katika
hali nzuri tofauti na alivyokabidhiwa wakati uongozi wake unaingia
madarakani. Rage ambaye ametangaza kutokugombea tena uongozi
Simba amesema ameubadilisha uongozi klabuni kwani kulikuwa na
ufisadi na ufujaji wa mali za klabu. "Nilikabidhiwa klabu ikiwa inanuka mavi na Madirisha ya magunia lakini
nitaicha ikiwa kwenye hali nzuri na fedha za kutosha, kuna Mil 100
nitawaambia zinatoka wapi kuna Mil 200 nitawaambia zinatoka wapi."
Alisema Rage Rage pia amesema atamrithisha Mwenyekiti anayekuja
deni la Tsh Mil
480 toka Etol Du Sahel kama Malipo ya mauzo wa Emmanuel Okwi, Katika hali ya Kushangaza Rage alijikuta akisema Kuwa Wanachama
wengi wa Simba ni 'Mbumbumbu', Uongozi wa Rage utafika kikomo Mei
4 2014 pale wanachama wa Simba watakavyochagua viongozi mpya.
wa Simba Ismail Aden Rage amesema ataiacha Simba katika
hali nzuri tofauti na alivyokabidhiwa wakati uongozi wake unaingia
madarakani. Rage ambaye ametangaza kutokugombea tena uongozi
Simba amesema ameubadilisha uongozi klabuni kwani kulikuwa na
ufisadi na ufujaji wa mali za klabu. "Nilikabidhiwa klabu ikiwa inanuka mavi na Madirisha ya magunia lakini
nitaicha ikiwa kwenye hali nzuri na fedha za kutosha, kuna Mil 100
nitawaambia zinatoka wapi kuna Mil 200 nitawaambia zinatoka wapi."
Alisema Rage Rage pia amesema atamrithisha Mwenyekiti anayekuja
deni la Tsh Mil
480 toka Etol Du Sahel kama Malipo ya mauzo wa Emmanuel Okwi, Katika hali ya Kushangaza Rage alijikuta akisema Kuwa Wanachama
wengi wa Simba ni 'Mbumbumbu', Uongozi wa Rage utafika kikomo Mei
4 2014 pale wanachama wa Simba watakavyochagua viongozi mpya.