Rage oyeeeeee!!!!!!
Kumbe kweli CCM ni chama cha majambalika wanaotishia raia kwa bunduki!!
Kwenye kikao cha Simba uje na mguu wa kuku ili tukusaidie kuubeba maana unaonekana ni mzito sana.
Mwanamichezo anapopanda na silaha kwenye jukwaa la siasa tumuelweje?
Tuelewe ni mtu aliyeshindwa kisaikolojia, ndio maana amebeba bunduki ili kuboost kujiamini ndani yake.
Rage umenisikitisha sana, yaani umeonyesha USOMALI wako