Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kama umesikia clouds fm leo kuna kijana wetu wamesajiliwa dc motema pembe amekuwa
akiomba watu ovyo kwa simu namba za viongozi wa tff wamsaidie itumwe itc
wakati akiulizwa hilo mgosi anasema yeye wamekubaliana kuachana na simba nije drc nashangaa wananingangania
nimempigia rage hata apokei simu yangy same to kaburu shida tupu sijui kwa nini ananifanyia hivi naomba msaada wenu wandishi nafanya kazi ya kuzunguka na timu huku sichez inauma sana
akiomba watu ovyo kwa simu namba za viongozi wa tff wamsaidie itumwe itc
wakati akiulizwa hilo mgosi anasema yeye wamekubaliana kuachana na simba nije drc nashangaa wananingangania
nimempigia rage hata apokei simu yangy same to kaburu shida tupu sijui kwa nini ananifanyia hivi naomba msaada wenu wandishi nafanya kazi ya kuzunguka na timu huku sichez inauma sana