Ni navyo jua mimi Rage hauyuko nchini pamoja na katibu mkuu.....na mpira ni biashara na siku zote simba huwa hawabanii mchezaji wakishapata chao lazima kuna walakini au kutokuwepo kwa katibu na Rage...Kama umesikia clouds fm leo kuna kijana wetu wamesajiliwa dc motema pembe amekuwa
akiomba watu ovyo kwa simu namba za viongozi wa tff wamsaidie itumwe itc
wakati akiulizwa hilo mgosi anasema yeye wamekubaliana kuachana na simba nije drc nashangaa wananingangania
nimempigia rage hata apokei simu yangy same to kaburu shida tupu sijui kwa nini ananifanyia hivi naomba msaada wenu wandishi nafanya kazi ya kuzunguka na timu huku sichez inauma sana
Ukweli ni kwamba DC motema pembe washamalizana na simba kwa dau la dola elfu 15, Simba tayari washawasilisha barua TFF iliyosainiwa na Geofrey Nyange Kaburu kwa ajili ya kukamilisha hati ya uhamisho labda kazi imebaki kwa TFF, lakini Simba hawana kawaida ya kushikilia bahati za watu, sisi wadau wa Simba tunamtakia kila la heri kijana Mgosi.
<br />mkuu embu msaidien basi swala la ITC ni club kuhakikisha wamepata na wanatuma kama walivyopokea hela sasa ammepokea hela mnamfanyia uhuni labda kwa taarifa tu huyo mtangazaji alisema amempigia boniface na kumuulizaa akasema awajapokea ila anasoma magazetini sasa kama mdau wa michezo embu saidien hili yule ni kijana wenu aliewasaidia sana mpaka wanamheshimu kila kona ukiacha hivi majuzi alipoanza kujitumbukiza kwenye ma Miss ikawa shida uwanjan Nguvu basi anayway kila la kheri huko
<br />jamanini hiyo FEDHA si kweli clouds wamemuuliza mgosi akasema wamemalizia hiyo 5000 na ajui sababu na boniface kaulizwa kakaa kimya hilo ndio tataizo asaidiwe na nani mtu yuko congo anafanya kazi ya kuangaalia mechi wakati ameenda kucheza na wakumbuke kaacha familia kama rage amezoea bunge kuacha familia yake aheshimu yule mpira ndio maisha ya kipato chake sidhan aalichojitahd simba anastahili adhabu hiyo na mimi nilisikia anyway awe mvumiliv
<br />
<br />
Watanzania wanashangaza na habari za michezo nazo zipo kama udaku ya magazeti ya shigongo,jamaa wamemalizana na simba na simba wamemalizana na mgosi na jamaa wamekabidhiwa itc ya mgosi,simba hawana kawaida ya kubania wachezaji cos ngasa wa leo angekuwa tayari yupo norway simple cos madege kakataa na naamini huko norway angekuwa ameshavuka mipaka cos anajua,tunamtakia kila la kheri mgosi akacheze mpira wa hali ya juu kama sammata
<br />Hapa ni issue ya mgosi kutopata itc huko congo mambo ya ngasa na madega yanatoka wapi? hata hivyo wanorway walitaka kumchukua ngasa kiulaini madega akawakatalia, mbona azam walipofungua pochi ngasa alihamia kwao??<br />
<br />
Huyo msomali anayejifanya kufahamu sheria huku ni maimuna ndo anawapoteza sana simba. issue ya banka na meshack abel imemtoa ushamba huyo msomali na kujifanya mjuaji.
Kama umesikia clouds fm leo kuna kijana wetu wamesajiliwa dc motema pembe amekuwa
akiomba watu ovyo kwa simu namba za viongozi wa tff wamsaidie itumwe itc
wakati akiulizwa hilo mgosi anasema yeye wamekubaliana kuachana na simba nije drc nashangaa wananingangania
nimempigia rage hata apokei simu yangy same to kaburu shida tupu sijui kwa nini ananifanyia hivi naomba msaada wenu wandishi nafanya kazi ya kuzunguka na timu huku sichez inauma sana