Raha huwa raha ukijipa mwenye

OMG! huyu mama alisalimika kweli na hiyo minjemba ilyomzunguka pembeni yake?

...Tena wanamuangalia kwa uchu wa hali ya juu...Utadhani fisi anasubiri mkono udondoke ajinafasi.
 
Yawezekana hawa ndio walinzi wake, si unaona makopo hayo pembeni? Kweli raha usisubiri kupewa!?!
 
Huyu jamaa hapo chini anatumaje message wakati kalewa bwiiii na usingizi kauchapa?
 
...Tena wanamuangalia kwa uchu wa hali ya juu...Utadhani fisi anasubiri mkono udondoke ajinafasi.

acha uongo macho ya uchu yako wapi hapo Sanjenti jamani???

sasa huyo na simu hapo inakuwaje??? sio kwa mtogole yaani waiangalie simu hivo na mtu mwenyewe kwisha habari yake???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…